< Salmos 81 >

1 Cantád a Dios nuestra fortaleza: cantád con júbilo al Dios de Jacob.
Mwimbieni Mungu aliye nguvu yetu kwa sauti; pigeni kelele za furaha kwa Mungu wa Yakobo.
2 Tomád la canción, y dad al adufe: a la arpa de alegría, con el salterio.
Imbeni wimbo na pigeni matari, kinubi chenye sauti nzuri pamoja na kinanda.
3 Tocád la trompeta en la nueva luna, en el día señalado: en el día de nuestra solemnidad.
Pigeni panda mwandamo wa mwezi, katika siku ya mbalamwezi, mwanzoni mwa sikukuu.
4 Porque estatuto es de Israel: juicio del Dios de Jacob.
Kwa kuwa ni agizo kwa Israeli, amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo.
5 Por testimonio en José le ha constituido, cuando salió sobre la tierra de Egipto: donde oí lenguaje que no entendía.
Aliitoa kama maelekezo kwa Yusufu alipoenda katika nchi ya Misri, ambako nilisikia sauti ambayo sikuweza kuitambua:
6 Quité entonces su hombro de debajo de la carga: sus manos se quitaron de las ollas.
“Niliutua mzigo kutoka mabegani mwake; mikono yake ilipumzishwa kubeba kikapu.
7 En la angustia llamaste, y yo te libré; te respondí en el secreto del trueno; te probé sobre las aguas de Meriba. (Selah)
Katika dhiki yako uliniita, nami nikakusaidia; nilikujibu kutoka katika wingu jeusi la radi. Nilikujaribu kwenye maji ya Meriba. (Selah)
8 Oye, pueblo mío, y protestarte he: Israel, si me oyeres;
Sikilizeni, watu wangu, nami nitawaonya, Israeli, kama tu ugalinisikiliza!
9 No habrá en ti dios ajeno: ni te encorvarás a dios extraño.
Lazima kati yenu kusiwepo na mungu wa kigeni; haupaswi kumwabudu mungu wa kigeni.
10 Yo soy Jehová tu Dios, que te hice subir de la tierra de Egipto: ensancha tu boca, y henchirla he.
Mimi ni Yahwe niliyekutoa katika nchi ya Misri, fungua sana kinywa chako, nami nitakijaza.
11 Mas mi pueblo no oyó mi voz: e Israel no me quiso a mí.
Lakini watu wangu hawakusikiliza maneno yangu; Israeli hawakunitii.
12 Y dejélos a la dureza de su corazón; caminaron en sus consejos.
Nikawaacha waende katika katika njia yao wenyewe ya ukaidi ili kwamba waweze kufanya kinachoonekana sahihi kwao.
13 ¡O si mi pueblo me oyera, si Israel anduviera en mis caminos!
Oh, laiti watu wangu wangenisikiliza mimi; oh, watu wangu wangelitembea katika njia yangu.
14 En nada derribara yo a sus enemigos: y volviera mi mano sobre sus adversarios.
Kisha ningewatiisha adui zao haraka na kugeuzia mkono wangu dhidi ya watesi wao.
15 Los aborrecedores de Jehová le hubieran mentido: y el tiempo de ellos fuera para siempre.
Wale wanaomchukia Yahwe katika hofu na waanguke chini mbele zake! Wawe wanyonge milele.
16 Y Dios le hubiera mantenido de grosura de trigo: y de miel de la piedra te hubiera hartado.
Ningewalisha Israeli kwa ngano bora; Ningewatosheleza kwa asali itokayo mwambani.”

< Salmos 81 >