< Salmos 7 >

1 Jehová, Dios mío, en ti he confiado: sálvame de todos los que me persiguen, y líbrame;
Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini. Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe, uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,
2 Porque no arrebate mi alma: como el león, que despedaza, y no hay quien libre.
la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.
3 Jehová, Dios mío, si yo he hecho esto: si hay en mis manos iniquidad;
Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya na kuna hatia mikononi mwangu,
4 Si di mal pago a mi pacífico: si no salvé al que me perseguía sin motivo.
au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami, au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,
5 Persiga el enemigo a mi alma, y alcánce la, y pise en tierra mi vida: y a mi honra ponga en el polvo. (Selah)
basi adui anifuatie na kunipata, auponde uhai wangu ardhini na kunilaza mavumbini.
6 Levántate, o! Jehová, en tu furor, álzate a causa de las iras de mis angustiadores: y despierta para mí el juicio que mandaste,
Amka kwa hasira yako, Ee Bwana, inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu. Amka, Mungu wangu, uamue haki.
7 Y rodearte ha congregación de pueblos: por causa pues de él vuélvete en alto.
Kusanyiko la watu na likuzunguke. Watawale kutoka juu.
8 Jehová juzgará los pueblos: júzgame, o! Jehová, conforme a mi justicia; y conforme a mi integridad venga sobre mí.
Bwana na awahukumu kabila za watu. Nihukumu Ee Bwana, kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya uadilifu wangu, Ewe Uliye Juu Sana.
9 Consuma ahora mal a los malos, y enhiesta al justo: el Dios justo es el que prueba los corazones, y los riñones.
Ee Mungu mwenye haki, uchunguzaye mawazo na mioyo, komesha ghasia za waovu na ufanye wenye haki waishi kwa amani.
10 Mi escudo es en Dios, el que salva a los rectos de corazón.
Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana, awaokoaye wanyofu wa moyo.
11 Dios es el que juzga al justo: y Dios se aira todos los días.
Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku.
12 Si no se volviere, él afilará su espada: su arco ha armado ya, y aparejádolo ha.
Kama hakutuhurumia, atanoa upanga wake, ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.
13 Y para él ha aparejado armas de muerte: ha labrado sus saetas para los que persiguen.
Ameandaa silaha zake kali, ameweka tayari mishale yake ya moto.
14 He aquí, ha tenido parto de iniquidad: y concibió trabajo, y parió mentira.
Yeye aliye na mimba ya uovu na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.
15 Pozo ha cavado, y ahondádolo ha: y en la fosa que él hizo caerá.
Yeye achimbaye shimo na kulifukua hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
16 Su trabajo será vuelto sobre su cabeza: y su agravio descenderá sobre su mollera.
Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe, ukatili wake humrudia kichwani.
17 Alabaré a Jehová conforme a su justicia, y cantaré al nombre de Jehová el Altísimo.
Nitamshukuru Bwana kwa ajili ya haki yake, na nitaliimbia sifa jina la Bwana Aliye Juu Sana.

< Salmos 7 >