< Salmos 60 >

1 Dios, desechástenos, disipástenos; airástete, vuélvete a nosotros.
Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
2 Hiciste temblar la tierra, abrístela; sana sus quebraduras, porque titubea.
Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
3 Hiciste ver a tu pueblo duras cosas: hicístenos beber vino de temblor.
Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
4 Has dado a los que te temen una bandera que alcen por amor de la verdad. (Selah)
Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
5 Para que se escapen tus amados: salva con tu diestra, y óyeme.
Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
6 Dios habló en su santidad: Yo me alegraré: partiré a Siquem, y mediré al valle de Socot.
Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
7 Mío es Galaad, y mío es Manasés: y Efraím es la fortaleza de mi cabeza; Judá mi legislador;
Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
8 Moab, la olla de mi lavatorio: sobre Edom echaré mi zapato; sobre mí triunfa, o! Palestina.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9 ¿Quién me llevará a la ciudad fortalecida? ¿quién me llevará hasta Idumea?
Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10 Ciertamente tú, o! Dios, que nos habías desechado; y no salías, o! Dios, con nuestros ejércitos.
Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
11 Dános socorro contra el enemigo, que vana es la salud de los hombres.
Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
12 En Dios haremos proezas; y él pisará nuestros enemigos.
Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.

< Salmos 60 >