< Salmos 29 >

1 Dad a Jehová, o! hijos de fuertes, dad a Jehová la gloria y la fortaleza.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Dad a Jehová la gloria de su nombre: humilláos a Jehová en el glorioso santuario.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 Voz de Jehová sobre las aguas: el Dios de gloria hizo tronar: Jehová, sobre las muchas aguas.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 Voz de Jehová con potencia: voz de Jehová con gloria.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 Voz de Jehová que quebranta los cedros; y quebrantó Jehová los cedros del Líbano.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 E hízolos saltar como los becerros: al Líbano, y al Sirión como hijos de unicornios.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 Voz de Jehová que corta llamas de fuego.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 Voz de Jehová que hará temblar al desierto: hará temblar Jehová al desierto de Cádes.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 Voz de Jehová que hará estar de parto a las ciervas, y desnudará a las breñas: y en su templo todos los suyos le dicen gloria.
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Jehová estuvo en el diluvio, y asentóse Jehová por rey para siempre.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Jehová dará fortaleza a su pueblo: Jehová bendecirá a su pueblo en paz.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Salmos 29 >