< Salmos 21 >

1 Jehová, en tu fortaleza se alegrará el rey; y en tu salud se regocijará mucho.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mfalme anashangilia katika uweza wako, Yahwe! Ni kwa namna kuu anashangilia katika wokovu uliouleta!
2 El deseo de su corazón le diste; y no le negaste lo que sus labios pronunciaron. (Selah)
Wewe umempa yeye matamanio ya moyo wake na hauja mkatalia maombi midomo yake.
3 Por tanto le adelantarás en bendiciones de bien: corona de oro fino has puesto sobre su cabeza.
Kwa kuwa wewe unamletea baraka nyingi; wewe uliweka katika kichwa chake taji ya dhahabu iliyo safi kabisa.
4 Vida te demandó, se la diste: longura de días, por siglo y siglo.
Yeye alikuomba wewe maisha; ukampatia maisha; wewe ulimpatia maisha malefu milele na milele.
5 Grande es su gloria en tu salud: honra y hermosura has puesto sobre él.
Yeye utukufu wake ni mkuu kwa sababu ya ushindi wako; wewe umemuwekea mapambo na enzi.
6 Porque le has bendecido para siempre: alegrástele de alegría con tu rostro.
Kwa kuwa unampatia yeye baraka za kudumu; unamfurahisha kwa furaha ya uwepo wako.
7 Por cuanto el rey confía en Jehová: y en la misericordia del Altísimo no titubeará.
Kwa kuwa Mfalme humwamini Yahwe; kwa kupitia uaminifu wa agano la aliye juu zaidi yeye hataondolewa.
8 Alcanzará tu mano a todos tus enemigos: tu diestra alcanzará a los que te aborrecen.
Mkono wako utawakamata adui zangu wote wote; mkono wako wa kuume utawakamata wale wote wanao kuchukia.
9 Ponerlos has como horno de fuego en el tiempo de tu ira: Jehová los deshará en su furor, y fuego los consumirá.
Wakati wa hasira yako, wewe utawachoma kama katika tanuru la moto. Yahwe atawamaliza wao katika hasira yake, na moto utawateketeza upesi wao.
10 Su fruto destruirás de la tierra: y su simiente de entre los hijos de los hombres.
Wewe utawaangamiza watoto wao duniani na ukoo wao kutoka katika mrorongo wa wanadamu.
11 Porque tendieron mal contra ti: maquinaron maquinación, mas no prevalecieron.
Kwa kuwa walikusudia kukufanyia mambo maovu wewe; wao walitunga njama ambayo kwayo hawawezi kufanikiwa!
12 Por tanto ponerlos has a parte: con tus cuerdas apuntarás a sus rostros.
Kwa kuwa wewe utawarudisha nyuma; wewe utafyatua upinde wako mbele yao.
13 Ensálzate, o! Jehová, con tu fortaleza: cantaremos y alabaremos tu valentía.
Uninuliwe, Yahwe, katika uweza wako; tutaimba na kusifu nguvu zako.

< Salmos 21 >