< Salmos 130 >

1 De los profundos te llamo, o! Jehová.
Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Señor, oye mi voz. Sean tus orejas atentas a la voz de mi oración.
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
3 Jehová, si mirares a los pecados, Señor ¿quién persistirá?
Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4 Por lo cual hay perdón acerca de ti: para que seas temido.
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
5 Yo esperé a Jehová, mi alma esperó: a su palabra he esperado.
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6 Mi alma esperó a Jehová, más que las guardas esperan a la mañana: las guardas a la mañana.
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
7 Espere Israel a Jehová, porque con Jehová está la misericordia; y abundante redención cerca de él.
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8 Y él redimirá a Israel de todos sus pecados.
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.

< Salmos 130 >