< Salmos 120 >

1 A Jehová llamé estando en angustia; y él me respondió.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Jehová, escapa mi alma del labio mentiroso: de la lengua engañosa.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 ¿Qué te dará a ti, o qué te añadirá la lengua engañosa?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Es como saetas de valiente agudas con brasas de enebros.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 ¡Ay de mí que peregrino en Mesec: habito con las tiendas de Cedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Mucho se detiene mi alma con los que aborrecen la paz.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Yo soy pacífico; y cuando hablo, ellos guerrean.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Salmos 120 >