< Salmos 113 >

1 Alabád siervos de Jehová, alabád el nombre de Jehová.
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Sea el nombre de Jehová bendito desde ahora y hasta siempre.
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 Desde el nacimiento del sol hasta donde se pone, sea alabado el nombre de Jehová.
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 Alto sobre todas las naciones es Jehová: sobre los cielos es su gloria.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 ¿Quién como Jehová nuestro Dios, que ha enaltecido su habitación?
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 Que se abaja para ver en el cielo, y en la tierra:
atazamaye chini angani na duniani?
7 Que levanta del polvo al pobre; y al menesteroso alza del estiércol:
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 Para hacerle sentar con los príncipes, con los príncipes de su pueblo.
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Que hace habitar en familia a la estéril, tornándola madre de hijos alegre. Alelu- Jah.
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< Salmos 113 >