< Salmos 113 >

1 Alabád siervos de Jehová, alabád el nombre de Jehová.
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2 Sea el nombre de Jehová bendito desde ahora y hasta siempre.
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3 Desde el nacimiento del sol hasta donde se pone, sea alabado el nombre de Jehová.
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
4 Alto sobre todas las naciones es Jehová: sobre los cielos es su gloria.
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5 ¿Quién como Jehová nuestro Dios, que ha enaltecido su habitación?
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6 Que se abaja para ver en el cielo, y en la tierra:
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7 Que levanta del polvo al pobre; y al menesteroso alza del estiércol:
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 Para hacerle sentar con los príncipes, con los príncipes de su pueblo.
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Que hace habitar en familia a la estéril, tornándola madre de hijos alegre. Alelu- Jah.
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.

< Salmos 113 >