< Salmos 110 >

1 Jehová dijo a mi Señor: Asiéntate a mi diestra, entre tanto que pongo a tus enemigos por estrado de tus pies.
Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
2 La vara de tu fortaleza enviará Jehová desde Sión: domina en medio de tus enemigos.
Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
3 Tu pueblo será voluntario en el día de tu ejército en hermosura de santidades: como el rocío que cae de la matriz del alba, así te nacerán los tuyos,
Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
4 Juró Jehová, y no se arrepentirá: que tú serás sacerdote para siempre conforme al rito de Melquisedec.
Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
5 El Señor está a tu diestra: herirá a los reyes en el día de su furor.
Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
6 Juzgará en las naciones; henchirá de cuerpos muertos: herirá la cabeza sobre mucha tierra.
Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
7 Del arroyo, beberá en el camino; por lo cual ensalzará la cabeza.
Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

< Salmos 110 >