< Salmos 11 >

1 En Jehová he confiado, ¿cómo decís a mi alma: Muévete a vuestro monte, como ave?
Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
2 Porque, he aquí, los malos flecharon el arco: apercibieron sus saetas sobre la cuerda para asaetear en oculto a los rectos de corazón.
Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
3 Porque los fundamentos serán derribados: ¿el justo qué ha hecho?
Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
4 Jehová en el templo de su santidad: Jehová en el cielo su trono: sus ojos ven, sus párpados prueban a los hijos de los hombres.
Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
5 Jehová prueba al justo, y al malo, y al que ama la rapiña aborrece su alma.
Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
6 Lloverá sobre los malos lazos, fuego y azufre; y viento de torbellinos será la parte de su vaso.
Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
7 Porque el justo Jehová amó las justicias: al recto mirará su rostro.
Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.

< Salmos 11 >