< Josué 12 >

1 Estos son los reyes de la tierra que los hijos de Israel hirieron, y poseyeron su tierra de la otra parte del Jordán al nacimiento del sol, desde el arroyo de Arnón, hasta el monte de Hermón, y toda la llanura oriental:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sejón rey de los Amorreos, que habitaba en Jesebón; y señoreaba desde Aroer, que está a la ribera del arroyo de Arnón, y desde el medio del arroyo, y la mitad de Galaad hasta Jaboc que es un arroyo, el cual es el término de los hijos de Ammón:
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 Y desde la campaña hasta la mar de Cenerot al oriente: y hasta la mar de la campaña, la mar salada al oriente, por el camino de Bet-jesimot: y desde el mediodía debajo de las vertientes de Fasga.
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 Y los términos de Og, rey de Basán, que había quedado de los Rafeos: que habitaban en Astarot y en Edrai:
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 Y señoreaba en el monte de Hermón, y en Saleca: y en toda Basán hasta los términos de Gessuri y de Macati, y la mitad de Galaad, que era término de Sejón rey de Jesebón.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Estos hirieron Moisés siervo de Jehová, y los hijos de Israel: y Moisés siervo de Jehová dio aquella tierra en posesión a los Rubenitas, Gaditas, y a la media tribu de Manasés.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 Empero estos son los reyes de la tierra que hirió Josué y los hijos de Israel de esta parte del Jordán al occidente, desde Baalgad, que está en el llano del Líbano, hasta el monte de Halac, que sube a Seir, la cual tierra Josué dio en posesión a las tribus de Israel conforme a sus repartimientos:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 En montes, y en valles, en llanos y en vertientes, al desierto y al mediodía: el Jetteo, y el Amorreo, y el Cananeo, y el Ferezeo, y el Heveo, y el Jebuseo.
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 El rey de Jericó, uno: el rey de Hai, que está al lado de Bet-el, otro:
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 El rey de Jerusalem, otro: el rey de Hebrón, otro:
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 El rey de Jerimot, otro: el rey de Laquis, otro:
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 El rey de Eglón, otro: el rey de Gazer, otro:
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 El rey de Dabir, otro: el rey de Gader, otro:
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 El rey de Herma, otro: el rey de Hered, otro:
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 El rey de Lebna, otro: el rey de Adullam, otro:
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 El rey de Maceda, otro: el rey de Bet-el, otro:
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 El rey de Tappua, otro: el rey de Ofer, otro:
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 El rey de Afec, otro: el rey de Sarán, otro:
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 El rey de Madán, otro: el rey de Asor, otro:
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 El rey de Semeron-meroón, otro: el rey de Ascaf, otro:
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 El rey de Tenac, otro: el rey de Mageddo, otro:
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 El rey de Cedes, otro: el rey de Jacanán de Carmel, otro:
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 El rey de Dor, de la provincia de Dor, otro: el rey de las gentes en Galgal, otro:
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 El rey de Tersa, otro: treinta y un rey en todos.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Josué 12 >