< Job 9 >

1 Y respondió Job, y dijo:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Ciertamente yo conozco que es así: ¿y como se justificará el hombre con Dios?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Si quisiere contender con él, no le podrá responder a una cosa de mil.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 El es sabio de corazón, y fuerte de fuerza: ¿quién fue duro contra él, y quedó en paz?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Que arranca los montes con su furor, y no conocen quien los trastornó.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Que remueve la tierra de su lugar, y hace temblar sus columnas.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Que manda al sol, y no sale; y a las estrellas sella.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 El que solo extiende los cielos, y anda sobre las alturas de la mar.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 El que hizo el Arcturo, y el Orión y las Pléyades, y los lugares secretos del mediodía.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 El que hace grandes cosas, e incomprensibles, y maravillosas sin número.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 He aquí, que él pasará delante de mí, y yo no le veré; pasará, y no le entenderé.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 He aquí, arrebatará: ¿quién le hará restituir? ¿Quién le dirá: Qué haces?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Dios no tornará atrás su ira, y debajo de él se encorvan los que ayudan a la soberbia.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 ¿Cuánto menos le responderé yo, y hablaré con él palabras estudiadas?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Que aunque yo sea justo, no responderé: antes habré de rogar a mi juez.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Que si yo le invocase, y él me respondiese, aun no creeré que haya escuchado mi voz.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Porque me ha quebrado con tempestad, y ha aumentado mis heridas sin causa.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 Que aun no me ha concedido que tome mi aliento, mas háme hartado de amarguras.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Si habláremos de su poder, fuerte ciertamente es: si de su juicio, ¿quién me lo emplazará?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Si yo me justificare, mi boca me condenará: si me predicare perfecto, él me hará inicuo.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Si yo me predicare acabado, no conozco mi alma: condenaré mi vida.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Una cosa resta, es a saber, que yo diga: Al perfecto y al impío, él los consume.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 Si es azote, mate de presto, él se rie de la tentación de los inocentes.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 La tierra es entregada en manos de los impíos, y él cubre el rostro de sus jueces. Sino es él que lo hace, ¿dónde está? ¿quién es?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Mis días fueron más ligeros que un correo: huyeron, y nunca vieron bien.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Pasaron con los navíos de Ebeh: o como el águila que se abate a la comida.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Si digo: Olvidaré mi queja, dejaré mi saña, y esforzarme he:
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Temo todos mis trabajos: sé que no me perdonarás.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Si yo soy impío, ¿para que trabajaré en vano?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Aunque me lave con aguas de nieve, y aunque limpie mis manos con la misma limpieza;
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Aun me hundirás en la huesa: y mis propios vestidos me abominarán.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Porque no es hombre como yo, para que yo le responda, y vengamos juntamente a juicio.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 No hay entre nosotros árbitro que ponga su mano sobre nosotros ambos.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Quite de sobre mí su verdugo, y su terror no me perturbe;
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Y hablaré, y no le temeré: porque así no estoy conmigo.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Job 9 >