< Job 33 >

1 Por tanto oye ahora, Job, mis razones, y escucha todas mis palabras.
Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
2 He aquí, ahora yo abriré mi boca, y mi lengua hablará en mi garganta.
Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
3 Mis razones declararán la rectitud de mi corazón, y mis labios hablarán pura sabiduría.
Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
4 El Espíritu de Dios me hizo, y la inspiración del Omnipotente me dio vida.
Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
5 Si pudieres, respóndeme: dispón, está delante de mí.
Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
6 Heme aquí a mí en lugar de Dios, conforme a tu dicho: de lodo soy yo también formado.
Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
7 He aquí que mi terror no te espantará, ni mi mano se agravará sobre ti.
Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
8 De cierto tú dijiste a mis oídos, y yo oí la voz de tus palabras:
Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
9 Yo soy limpio, y sin rebelión: yo soy inocente, y no hay maldad en mí;
'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
10 He aquí que él buscó achaques contra mí, y me tiene por su enemigo;
Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
11 Puso mis pies en el cepo, y guardó todas mis sendas.
Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
12 He aquí en esto no has hablado justamente: responderte he, que mayor es Dios que el hombre.
Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
13 ¿Por qué tomaste pleito contra él? porque él no dirá todas sus palabras.
Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
14 Antes en una o en dos maneras hablará Dios al que no ve.
Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
15 Por sueño de visión nocturna, cuando el sueño cae sobre los hombres, cuando se adormecen sobre el lecho;
Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
16 Entonces revela al oído de los hombres; y les señala su castigo;
basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
17 Para quitar al hombre de la mala obra, y apartar del varón la soberbia.
kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
18 Así detendrá su alma de corrupción, y su vida de ser pasada a cuchillo.
Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
19 También sobre su cama es castigado con dolor fuertemente, en todos sus huesos:
Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
20 Que le hace que su vida aborrezca el pan, y su alma la comida suave.
ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
21 Su carne desfallece sin verse; y sus huesos, que antes no se veían, serán levantados.
Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
22 Y su alma se acercará del sepulcro, y su vida, de los matadores.
Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
23 Si hubiere cerca de él algún elocuente anunciador muy escogido, que anuncie al hombre su justicia,
Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
24 Que le diga: que Dios tuvo misericordia de él, que le libró de descender al sepulcro, que halló redención.
na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
25 Su carne se enternecerá más que de un niño, y volverá a los días de su mocedad.
kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
26 Orará a Dios, y amarle ha; y verá su faz con júbilo: y él dará al hombre el pago de su justicia.
Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
27 Él mira sobre los hombres; y el que dijere: Pequé, y pervertí lo recto, y no me ha aprovechado:
Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
28 Dios redimirá su alma, que no pase al sepulcro, y su vida se verá en luz.
Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
29 He aquí, todas estas cosas hace Dios dos, tres veces con el hombre.
Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
30 Para apartar su alma del sepulcro, y para ilustrarle con la luz de los vivientes.
kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
31 Escucha, Job, y óyeme: calla, y yo hablaré:
Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
32 Y si hubiere palabras, respóndeme: habla, porque yo te quiero justificar.
Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
33 Y si no, óyeme tú a mí: calla, y enseñarte he sabiduría.
Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”

< Job 33 >