< Job 28 >

1 Ciertamente la plata tiene su oculto nacimiento, y el oro lugar de donde lo sacan.
Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
2 El hierro es tomado del polvo, y de la piedra es fundido el metal.
Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
3 A las tinieblas puso término, y a toda obra perfecta que él hizo puso piedra de oscuridad y de sombra de muerte.
Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
4 Sale el río junto al morador; y las aguas sin pie, más altas que el hombre, se fueron.
Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
5 Tierra de la cual saldrá pan, y debajo de ella estará como convertida en fuego.
Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
6 Lugar que sus piedras serán zafiros, y tendrá polvos de oro.
Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
7 Senda que nunca la conoció ave, ni ojo de buitre la vio.
Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
8 Nunca la pisaron animales fieros, ni pasó por ella león.
Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
9 En el pedernal puso su mano, y trastornó los montes de raíz.
Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
10 De los peñascos cortó ríos, y todo lo precioso vio su ojo.
Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
11 Los ríos detuvo en su nacimiento, y lo escondido hizo salir a luz.
Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
12 ¿Mas la sabiduría, donde se hallará? ¿y el lugar de la prudencia, donde está?
Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
13 Nunca el hombre supo su valor, ni se halla en la tierra de los vivientes.
Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
14 El abismo dice: No está en mí: y la mar dijo: Ni conmigo.
Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
15 No se dará por oro, ni su precio será a peso de plata.
Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
16 No es apreciada con oro de Ofir, ni con ónix precioso, ni con zafiro.
Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
17 El oro no se le igualará, ni el diamante; ni se trocará por vaso de oro fino.
Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
18 De coral, ni de gabis, no se hará mención: la sabiduría es mejor que piedras preciosas.
Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
19 No se igualará con ella esmeralda de Etiopía: no se podrá apreciar con oro fino.
Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
20 ¿De dónde, pues, vendrá la sabiduría? ¿y dónde está el lugar de la inteligencia?
Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
21 Pues es encubierta a los ojos de todo viviente, y a toda ave del cielo es oculta.
Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
22 La perdición y la muerte dijeron: Su fama hemos escuchado con nuestros oídos.
Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
23 Dios entendió su camino, y él solo conoció su lugar.
Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
24 Porque él mira hasta los fines de la tierra, y ve debajo de todo el cielo:
Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
25 Haciendo peso al viento, y poniendo las aguas por medida.
Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
26 Cuando él hizo ley a la lluvia, y camino al relámpago de los truenos:
Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
27 Entonces la vio él, y la manifestó; la preparó, y también la inquirió.
Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
28 Y dijo al hombre: He aquí, que el temor del Señor es la sabiduría; y la inteligencia el apartarse del mal.
Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”

< Job 28 >