< Job 20 >

1 Y respondió Sofar Naamatita, y dijo:
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Por cierto mis pensamientos me hacen responder, y por tanto me apresuro.
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 El castigo de mi vergüenza he oído, y el espíritu de mi inteligencia me hace responder.
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 ¿Esto no sabes que fue siempre, desde el tiempo que fue puesto el hombre sobre la tierra:
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 Que la alegría de los impíos es breve, y el gozo del hipócrita, por un momento?
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 Si subiere hasta el cielo su altura, y su cabeza tocare en las nubes,
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 Como su mismo estiércol perecerá para siempre: los que le vieren, dirán: ¿Qué es de él?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Como sueño volará, y no será hallado; e irse ha como una visión nocturna.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 El ojo que le viere, nunca más le verá: ni su lugar le verá más.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Sus hijos pobres andarán rogando, y sus manos tornarán lo que él robó.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 Sus huesos están llenos de sus mocedades: y con él serán sepultadas en el polvo.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 Si el mal se endulzó en su boca, si lo ocultaba debajo de su lengua:
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 Si le parecía bien, y no lo dejaba; mas antes lo detenía entre su paladar:
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 Su comida se mudará en sus entrañas: hiel de áspides [se tornará] dentro de él.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 Comió haciendas, mas vomitarlas ha: de su vientre las sacará Dios.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 Veneno de áspides chupará: lengua de víbora le matará.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 No verá los arroyos, las riberas de los ríos de miel y de manteca.
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 Restituirá el trabajo ajeno conforme a la hacienda que tomó: y no tragará, ni gozará.
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 Por cuanto molió, dejó pobres: robó casas, y no las edificó;
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 Por tanto él no sentirá sosiego en su vientre, ni escapará con su codicia.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 No quedó nada que no comiese: por tanto su bien no será durable.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 Cuando fuere lleno su bastimento, tendrá angustia, toda mano del trabajado le acometerá.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 Cuando se pusiere a henchir su vientre, Dios enviará sobre él la ira de su furor; y lloverá sobre él y sobre su comida.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 Huirá de las armas de hierro, y pasarle ha el arco de acero.
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 Desvainará, y sacará saeta de su aljaba, y saldrá resplandeciendo por su hiel: sobre él vendrán terrores.
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 Todas tinieblas están guardadas para sus secretos, fuego no soplado le devorará: su sucesor será quebrantado en su tienda.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 Los cielos descubrirán su iniquidad: y la tierra estará contra él.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 Los renuevos de su casa serán trasportados; y serán derramados en el día de su furor.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Esta es la parte que Dios apareja al hombre impío; y esta es la heredad que Dios le señala por su palabra.
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< Job 20 >