< 1 Crónicas 1 >

1 Adam, Set, Enós,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Cainán, Malaleel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Jenoc, Matusalem, Lamec,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noé, Sem, Cam, y Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Los hijos de Jafet fueron Gomer, Magog, Madai, Javán, Tubal, Mosoc, y Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer fueron Ascenez, Rifat, y Togorma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Los hijos de Javán: Elisa, Társis, Cetim, y Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Fut, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Los hijos de Cus: Saba, Hevila, Sabata, Regma, y Sabataca. Y los hijos de Regma: Saba y Dadán.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cus engendró a Nimrod: este comenzó a ser poderoso en la tierra.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mizraim engendró a Ludim, Anamim, Laabim, Neftuim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Fetrusim, y Casluim: de estos salieron los Filisteos, y los Caftoreos.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaán engendró a Sidón su primogénito;
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 Y al Jetteo, y al Jebuseo, y al Amorreo, y al Gergeseo;
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Y al Heveo, y al Araceo, y al Sineo;
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Al Aradeo, y al Samareo, y al Hamateo.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Los hijos de Sem fueron Elam, Assur, Arfajad, Lud, Aram, Hus, Hul, Geter, y Mosoc.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arfajad engendró a Sale, y Sale engendró a Heber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Y a Heber nacieron dos hijos: el nombre del uno fue Faleg, por cuanto en sus días fue dividida la tierra, y el nombre de su hermano fue Jectán.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Y Jectán engendró a Elmodad, Salef, Asarmot, Jare,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Adoram, Uzal, Decla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Hebal, Abimael, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Hevila, y Jobab: todos hijos de Jectán.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arfajad, Sale,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Heber, Faleg, Ragau,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nacor, Tare,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Y Abram, el cual es Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Los hijos de Abraham fueron Isaac e Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Y estas son sus descendencias: el primogénito de Ismael fue Nabajot: después de él Cedar, Adbeel, Mabsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Masma, Duma, Massa, Hadad, Tema, Jetur, Nafis, y Cedma. Estos son los hijos de Ismael.
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Y Cetura concubina de Abraham parió a Zamram, Jecsán, Madán, Madián, Jesboc, y a Sue.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Los hijos de Jecsán fueron Sabá y Dadán.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Efa, Efer, Jenoc, Abida, y Eldaa. Todos estos fueron hijos de Cetura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Y Abraham engendró a Isaac: y los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú fueron Elifaz, Rahuel, Jehús, Jelom, y Coré.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Los hijos de Elifaz, Temán, Omar, Sefi, Gatam, Cenes, Temna, y Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Los hijos de Rahuel fueron Nahat, Zare, Samma, y Meza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Los hijos de Seir fueron Lotán, Sobal, Sebeón, Ana, Disón, Eser, y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Hori, y Homam. Y Temna, fue hermana de Lotán.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Los hijos de Sobal fueron Alván, Manahat, Ebal, Sefí y Onán. Los hijos de Sebeón, Aia y Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Disón fue hijo de Ana. Los hijos de Disón fueron Hamram, Esebán, Jetrán, y Carán.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Los hijos de Ezer: Balaam, Zaván, y Acán. Los hijos de Disán: Hus y Aram.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Y estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes que reinase rey sobre los hijos de Israel. Bela, hijo de Beor: y el nombre de su ciudad fue Denaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Y muerto Bela, reinó en su lugar Jobab, hijo de Zaré de Bosra.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Y muerto Jobab, reinó en su lugar Husam, de la tierra de los Temanos.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Muerto Husam, reinó en su lugar Adad, hijo de Badad: este hirió a Madián en la campaña de Moab: y el nombre de su ciudad fue Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Muerto Adad, reinó en su lugar Semla de Maresca.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Muerto también Semla, reinó en su lugar Saul de Rohobot que está junto al río.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Y muerto Saul, reinó en su lugar Balanán, hijo de Acobor.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Y muerto Balanán, reinó en su lugar Adar, el nombre de su ciudad fue Fau: y el nombre de su mujer fue Meetabel, hija de Matred, e hija de Mezaab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Muerto Adar, sucedieron los duques en Edom: el duque Tamna, el duque Alva, el duque Jetet;
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 El duque Oolibama, el duque Ela, el duque Finón;
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 El duque Cenez, el duque Temán, el duque Mabsar;
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 El duque Magdiel, el duque Hiram. Estos fueron los duques de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Crónicas 1 >