< 1 Crónicas 6 >

1 Los hijos de Leví fueron Gersón, Caat y Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 Los hijos de Caat fueron Amram, Isaar, Hebrón, y Oziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 Los hijos de Amram fueron Aarón, Moisés, y María. Los hijos de Aarón fueron Nadab, Abiú, Eleazar, e Itamar.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Eleazar engendró a Finees, y Finees engendró a Abisué,
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 Y Abisué engendró a Bocci, y Bocci engendró a Ozi,
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 Y Ozi engendró a Zaraías, y Zaraías engendró a Meraiot,
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Y Meraiot engendró a Amarías, y Amarías engendró a Aquitob,
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 Y Aquitob engendró a Sadoc, y Sadoc engendró a Aquimaas,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 Y Aquimaas engendró a Azarías, y Azarías engendró a Johanán,
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 Y Johanán engendró a Azarías, el que tuvo el sacerdocio en la casa que Salomón edificó en Jerusalem,
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 Y Azarías engendró a Amarías, y Amarías engendró a Aquitob,
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 Y Aquitob engendró a Sadoc, y Sadoc engendró a Sellum,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 Y Sellum engendró a Helcías, y Helcías engendró a Azarías,
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 Y Azarías engendró a Saraías, y Saraías engendró a Josedec,
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 Y Josedec fue cuando Jehová trasportó a Judá y a Jerusalem por mano de Nabucodonosor.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Así que los hijos de Leví fueron Gersón, Caat, y Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 Y estos son los nombres de los hijos de Gersón: Lebni, y Semeí.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 Los hijos de Caat fueron Amram, Isaar, Hebrón y Oziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 Los hijos de Merari fueron Moholi, y Musi. Estas son las familias de Leví según sus descendencias:
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Gersón, Lebni su hijo, Jahat su hijo, Zamma su hijo,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 Joah su hijo, Addo su hijo, Zara su hijo, Jetrai su hijo.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 Los hijos de Caat fueron Aminadab su hijo, Coré su hijo, Asir su hijo,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 Elcana su hijo, Abiasaf su hijo, Asir su hijo,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 Tahat su hijo, Uriel su hijo, Ozía su hijo, y Saul su hijo.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 Los hijos de Elcana fueron Amasai, Aquimot, y Elcana.
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 Los hijos de Elcana fueron Sofai su hijo, Nahat su hijo,
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Eliab su hijo, Jeroham su hijo, Elcana su hijo,
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 Los hijos de Samuel, el primogénito Vasseni, y Abías.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 Los hijos de Merari fueron Mocoli, Lebni su hijo, Semeí su hijo, Oza su hijo,
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 Samaa su hijo, Haggía su hijo, Asaía su hijo.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 Y estos son a los que David dio cargo de las cosas de la música de la casa de Jehová, después que el arca tuvo reposo:
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 Los cuales servían delante de la tienda del tabernáculo del testimonio en cantares, hasta que Salomón edificó la casa de Jehová en Jerusalem: y estuvieron en su ministerio según su costumbre.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 Y estos y sus hijos asistían: De los hijos de Caat, Hemán cantor, hijo de Joel, hijo de Samuel,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 Hijo de Elcana, hijo de Jeroham, hijo de Eliel, hijo de Tolu,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 Hijo de Suf, hijo de Elcana, hijo de Mahat, hijo de Amasai,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 Hijo de Elcana, hijo de Joel, hijo de Azarías, hijo de Sofonías,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 Hijo de Tahat, hijo de Asir, hijo de Abiasaf, hijo de Coré,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 Hijo de Isaar, hijo de Caat, hijo de Leví, hijo de Israel.
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 Y su hermano Asaf, el cual estaba a su mano derecha. Asaf, hijo de Baraquías, hijo de Samaa,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 Hijo de Micael, hijo de Baasías, hijo de Melquías,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 Hijo de Atanai, hijo de Zara, hijo de Adaia,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 Hijo de Etán, hijo de Zamma, hijo de Semeí,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 Hijo de Get, hijo de Gersón, hijo de Leví.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 Mas los hijos de Merari sus hermanos estaban a la mano siniestra, es a saber, Etán, hijo de Cusi, hijo de Abdi, hijo de Maloc,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 Hijo de Hasabías, hijo de Amasías, hijo de Helcías,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 Hijo de Amasai, hijo de Boni, hijo de Somer,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 Hijo de Moholi, hijo de Musi, hijo de Merari, hijo de Leví.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Y sus hermanos los Levitas fueron puestos sobre todo el ministerio del tabernáculo de la casa de Dios.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 Mas Aarón y sus hijos hacían perfume sobre el altar del holocausto, y sobre el altar del perfume, en toda la obra del lugar santísimo, y para hacer las expiaciones sobre Israel, conforme a todo lo que Moisés siervo de Dios había mandado.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 Y los hijos de Aarón son estos: Eleazar su hijo, Finees su hijo, Abisué su hijo,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 Bocci su hijo, Ozi su hijo, Zaraías su hijo,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 Meraiot su hijo, Amarías su hijo, Aquitob su hijo,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 Sadoc su hijo, Aquimaas su hijo.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Y estas son sus habitaciones por sus palacios y en sus términos, de los hijos de Aarón por las familias de los Caatitas: porque de ellos fue la suerte.
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 Que les dieron a Hebrón en tierra de Judá, y sus ejidos al rededor de ella:
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 Mas la tierra de la ciudad y sus aldeas dieron a Caleb, hijo de Jefone.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 Y a los hijos de Aarón dieron las ciudades de Judá de acogimiento, es a saber, a Hebrón, y a Lebna con sus ejidos,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 A Jeter y Estemo, con sus ejidos, y a Helón con sus ejidos, y a Dabir con sus ejidos,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 A Asán con sus ejidos, y a Bet-sames con sus ejidos.
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 Y de la tribu de Ben-jamín, a Gabee con sus ejidos, y a Almat con sus ejidos, y a Anatot con sus ejidos. Todas sus ciudades fueron trece ciudades, por sus linajes.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 A los hijos de Caat, que quedaron de su parentela, dieron diez ciudades de la media tribu de Manasés por suerte.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 Y a los hijos de Gersón por sus linajes dieron de la tribu de Isacar, y de la tribu de Aser, y de la tribu de Neftalí, y de la tribu de Manasés en Basán trece ciudades.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Y a los hijos de Merari por sus linajes, de la tribu de Rubén, y de la tribu de Gad, y de la tribu de Zabulón por suerte doce ciudades.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 Y dieron los hijos de Israel a los Levitas ciudades con sus ejidos.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 Y dieron por suerte de la tribu de los hijos de Judá, y de la tribu de los hijos de Simeón, y de la tribu de los hijos de Ben-jamín las ciudades que nombraron por sus nombres.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 Y a los linajes de los hijos de Caat dieron ciudades con sus términos de la tribu de Efraím.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 Y diéronles las ciudades de acogimiento, a Siquem con sus ejidos en el monte de Efraím, y a Gazer con sus ejidos.
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 Y a Jecmaam con sus ejidos, y a Bet-orón con sus ejidos.
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 Y a Ajalón con sus ejidos, y a Get-remmon con sus ejidos.
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 De la media tribu de Manasés, a Aner con sus ejidos, a Balaam con sus ejidos, para los del linaje de los hijos de Caat, que habían quedado.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 Y a los hijos de Gersón, de la familia de la media tribu de Manasés, a Gaulón en Basán con sus ejidos, y a Astarot con sus ejidos,
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 Y de la tribu de Isacar, a Cedes con sus ejidos, a Daberet con sus ejidos,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 Y a Ramot con sus ejidos, y a Anem con sus ejidos.
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 Y de la tribu de Aser, a Masal con sus ejidos, y a Abdón con sus ejidos,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 Y a Hacoc con sus ejidos, y a Rohob con sus ejidos.
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 Y de la tribu de Neftalí, a Cedes en Galilea con sus ejidos, a Hamón con sus ejidos, a Cariat-jarim con sus ejidos.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 Y a los hijos de Merari, que habían quedado, dieron de la tribu de Zabulón a Remmono con sus ejidos, y a Tabor con sus ejidos.
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 Y de la otra parte del Jordán de Jericó, al oriente del Jordán, dieron de la tribu de Rubén a Bosor en el desierto con sus ejidos, y a Jassa con sus ejidos,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 Y a Cademot con sus ejidos, y a Mefaat con sus ejidos.
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 Y de la tribu de Gad, a Ramot en Galaad con sus ejidos, y a Mahanaim con sus ejidos,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 Y a Jesebón con sus ejidos, y a Jezer con sus ejidos.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.

< 1 Crónicas 6 >