< 1 Crónicas 8 >

1 Benjamín fue el padre de Bela, su primogénito; Ashbel, el segundo; Aharah, el tercero;
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah, el cuarto, y Rapha, el quinto.
Noha, na Rafa.
3 Bela tuvo hijos: Addar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naamán, Ahoá,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sefufán y Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Estos son los hijos de Ehud. Estos son los jefes de familia de los habitantes de Geba, que fueron llevados cautivos a Manahath:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naamán, Ahijá y Gera, que los llevó cautivos; y fue padre de Uza y Ahijud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Shaharaim fue padre de hijos en el campo de Moab, después de haberlos despedido. Hushim y Baara fueron sus esposas.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 De Hodesh, su mujer, fue padre de Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Shachia y Mirmah. Estos fueron sus hijos, jefes de familia de sus padres.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Por Hushim fue padre de Abitub y Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Los hijos de Elpaal: Heber, Misham y Shemed, que edificaron Ono y Lod, con sus ciudades;
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 y Beriá y Sema, que fueron jefes de familia de los habitantes de Ajalón, que pusieron en fuga a los habitantes de Gat;
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 y Ahio, Sasac, Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadías, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Miguel, Ispah, Joha, hijos de Beriá,
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadías, Meshullam, Hizki, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ishmerai, Izliah, Jobab, hijos de Elpaal,
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Zichri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Zillethai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaiah, Beraiah, Shimrath, los hijos de Shimei,
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Ishpan, Heber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zichri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananiah, Elam, Anthothijah,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Iphdeiah, Penuel, los hijos de Shashak,
Ifdeia, na Penueli.
26 Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaareshiah, Elijah, Zichri, y los hijos de Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Estos eran jefes de familia por sus generaciones, hombres principales. Estos vivían en Jerusalén.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 El padre de Gabaón, cuya mujer se llamaba Maaca, vivía en Gabaón
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 con su hijo primogénito Abdón, Zur, Cis, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahio, Zécher,
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 y Miklot, que fue el padre de Simeá. También vivían con sus familias en Jerusalén, cerca de sus parientes.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner fue el padre de Kish. Cis fue el padre de Saúl. Saúl fue el padre de Jonatán, Malquisúa, Abinadab y Eshbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 El hijo de Jonatán fue Merib-baal. Merib-baal fue el padre de Miqueas.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Los hijos de Miqueas: Pitón, Melej, Tarea y Acaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Acaz fue el padre de Joaddah. Y Joaddah fue padre de Alemeth, Azmaveth y Zimri. Zimri fue el padre de Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza fue el padre de Binea. Raphah fue su hijo, Eleasah su hijo, y Azel su hijo.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel tuvo seis hijos, cuyos nombres son estos Azricam, Boquerú, Ismael, Searías, Abdías y Hanán. Todos estos fueron hijos de Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Los hijos de su hermano Eshek: Ulam su primogénito, Jeús el segundo y Elifelet el tercero.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Los hijos de Ulam fueron hombres valientes, arqueros, y tuvieron muchos hijos y nietos, ciento cincuenta. Todos ellos eran de los hijos de Benjamín.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Crónicas 8 >