< 1 Crónicas 8 >

1 Benjamín engendró a Bela, su primogénito, a Asbel, el segundo, a Aharah, el tercero,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 a Nohá, el cuarto, a Rafa, el quinto.
Noha, na Rafa.
3 Bela tuvo por hijos: Adar, Gerá, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisúa, Naamán, Ahoá,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gerá, Sefufán y Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 He aquí los hijos de Ahud, que eran jefes de casas paternas de los habitantes de Gabaá y fueron transportados a Manáhat:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naamán, Ahías y Gerá. Este los transportó, y engendró a Uzá y a Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Saaraim engendró hijos en el país de Moab, después de haber repudiado a sus mujeres Husim y a Baará.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Engendró de Hodes, su mujer, a Jobab, Sibiá, Mesá, Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeús, Sequía y Mirmá. Estos son sus hijos, jefes de casas paternas.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 De Husim engendró a Abitob, y Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Hijos de Elpaal: Éber, Misam, y Sémed, el cual edificó a Onó y Lod, con sus aldeas;
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 también Berías y Sema, jefes de casas paternas de los habitantes de Ayalón, que pusieron en fuga a los habitantes de Gat.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Ahío, Sasac, Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadías. Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Micael, Ispá y Jojá, hijos de Berías.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadías, Mesullam, Ezequías, Héber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ismerai, Izliá y Jobab, hijos de Elpaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jaquim Sicrí, Zabdí,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Silletai, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adayá, Berayá y Simrat, hijos de Simeí.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Ispán, Eber. Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdón, Sicrí, Hanán,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananías, Elam, Anatotías.
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Ifdayá y Penuel: hijos de Sasac.
Ifdeia, na Penueli.
26 Samserai, Sehariá, Ataliá,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaaresías, Eliá y Sicrí: hijos de Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Estos son los jefes de las casas paternas, según sus linajes, que habitaban en Jerusalén.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 En Gabaón habitó el padre de Gabaón, cuya mujer se llamaba Maacá;
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 y Abdón, su hijo primogénito, y Sur, Cis, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahío y Zequer.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Miclot engendró a Simeá. También estos, habitaron con sus hermanos en Jerusalén, frente a sus hermanos.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner engendró a Cis; Cis engendró a Saúl; Saúl engendró a Jonatán, Melquisúa, Abinadab, y Esbáal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Hijos de Jonatán: Meribbáal. Meribbáal engendró a Mica.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Hijos de Mica: Pitón, Mélec, Tarea y Acaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Acaz engendró a Joadá, Joadá engendró a Alémet, Azmáyet y Simrí. Simrí engendró a Mosá;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Mosá engendró a Bineá, cuyo hijo fue Rafa, hijo de este Elasá, e hijo de este, Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 AseI tuvo seis hijos, cuyos nombres son estos: Azricam, Bocrú, Ismael, Searías, Obadías y Hanán. Todos estos son hijos de Asel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Hijos de Esec, su hermano: Ulam, su primogénito, Jeús, el segundo, y Elifélet, el tercero.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Los hijos de Ulam eran valientes guerreros, que manejaban el arco, padres de muchos hijos y nietos: ciento cincuenta. Todos estos pertenecen a los hijos de Benjamín.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Crónicas 8 >