< Luka 5 >

1 Busuba nabumbi Yesu walikuba wemana mumbali mwa lwenje lwa Genesaleti. Bantu bangi bali kabanyakana kwambeti banyumfwe Maswi a Lesa.
Siku moja Yesu alipokuwa amesimama karibu na Ziwa la Genesareti, watu wengi wakiwa wanasongana kumzunguka ili wapate kusikia neno la Mungu,
2 Lino Yesu walabona mato abili asungwa mumbali, beshikushina inswi balikuba balafumumo kabasuka tombe twabo.
akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa, zikiwa zimeachwa hapo na wavuvi waliokuwa wanaosha nyavu zao.
3 Yesu walengila mubwato bumo ubo bwalikuba bwa Shimoni, neye walasengeti abunyakileko pa lwenje. Walekala mubwato nekutatika kwiyisha bantu.
Akaingia katika mojawapo ya hizo mashua ambayo ilikuwa ya Simoni, akamwomba aisogeze ndani ya maji kidogo kutoka ufuoni. Kisha akaketi na kufundisha watu akiwa mle ndani ya mashua.
4 Mpwalapwisha kwiyisha, walambila Shimoni eti, “Bunyakileni bwato pakati, kwambeti muwale tombe twenu mumenshi mwikate inswi.”
Alipomaliza kunena, akamwambia Simoni, “Sasa peleka mashua hadi kilindini kisha mshushe nyavu zenu mkavue samaki.”
5 Shimoni walakumbuleti, “Shikwiyisha, kufuma mashiku bulatucele tuliya kwikatapo inswi, pakwinga mulamba njamwe ningwale tombe.”
Simoni akamjibu, “Bwana, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua chochote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha nyavu.”
6 Lino balawala tombe twabo, nekwikata inswi shingi, tombe twabo twalatatika kupasuka.
Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika.
7 Lino balakuwa banabo balikuba mubwato bumbi kwambeti bese babanyafweko kusabula, naboyo balesa, nomba balesusha mato abili nkayanda kwibila.
Wakawaashiria wavuvi wenzao kwenye ile mashua nyingine ili waje kuwasaidia. Wakaja, wakajaza mashua zote mbili samaki hata zikaanza kuzama.
8 Shimoni Petulo mpwalaboneco walasuntama pantangu pa Yesu nekwambeti, “Kamundekelela Mwami Pakwinga ndeshikwinsa byaipa.”
Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia, alianguka miguuni mwa Yesu na kumwambia, “Bwana, ondoka kwangu. Mimi ni mtu mwenye dhambi!”
9 Shimoni ne banendi balenseco pakwinga balakankamana pa kufula kwa inswi isho nshobalekata.
Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata.
10 Neco Jemusi ne Yohane bana bendi Zebediya kayi nebanendi Shimoni, naboyo balakankamana. Lino Yesu walambila Shimoni eti, “Kotatina pakwinga kufuma lelo nube weshikwikata bantu.”
Vivyo hivyo wenzake Simoni, yaani Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walishangazwa pia. Ndipo Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa watu.”
11 Popelapo balatanta mato ayo kuya kutala kwa mulonga, balashiya byonse nekunkokela Yesu.
Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.
12 Yesu mpwalikuba mumunshi naumbi walakumana ne muntu wali kukolwa bulwashi bwa mankuntu mubili wonse. Mpwalabona Yesu mulwashi uyu walasuntama kuntangu nekumusengeti, “Mwami ndicishi kwambeti mukute ngofu shakusengula nsenguleni.”
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia. Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi, akamsihi akisema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.”
13 Yesu walatandabula likasa lyakendi, walamwikata ne kwambeti, “Ee ndayandanga, koba cena!” Popelapo mankuntu alapwa.
Yesu akanyoosha mkono wake, akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka. Takasika!” Na mara ukoma wake ukatakasika.
14 Kufumapo Yesu walamwambileti, “Konyumfwa, kotambila muntu nambi umo makani awa. Nomba obe ululame wenga kuli beshikwiyisha, uyenga ulileshe kuli beshimilumbo kwambeti ulaba cena. Uye ubenge bupe kwelana ne ncalamba Mose kwambeti bantu bashometi ulaba cena.”
Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu yeyote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.”
15 Necikabeco impuwo ya Yesu yalanyumfwika kubantu bangi. Neco bantu balikwisa kuli endiye kwambeti banyumfwe Maswi akendi kayi nekubasengula malwashi abo.
Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wowote. Makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Lino nendi Yesu walaya kwa enka akupaila.
Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba.
17 Nabumbi busuba Yesu walikeyisha, popelapo palikuba Bafalisi ne beshikwiyisha milawo nabambi. Bantu aba balafuma muminshi yonse ya ku Galileya, ku Yudeya kayi neku Yelusalemu. Ngofu sha Lesa shalikuba muli Yesu kwambeti abasengule.
Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria, waliokuwa wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka Uyahudi na Yerusalemu, walikuwa wameketi huko. Nao uweza wa Bwana ulikuwa juu yake kuponya wagonjwa.
18 Kufumapo bantu nabambi balaleta mutuloba walikuba watontola mubili nkabali bamunyamuna pa mpasa. Balelesha kwambeti bamwingishe mu ng'andeti bamoneke pantangu pa Yesu.
Wakaja watu wamembeba mgonjwa aliyepooza kwenye mkeka. Wakajaribu kumwingiza ndani ili wamweke mbele ya Yesu.
19 Naboyo balikuyanda kumwingishila pacishinga, lino pakwinga bantu balafula balalilwa kwambeti bamutwale mukati. Neco balatanta nendi pa ciluli ca ng'anda ne kupasula mulyango, balamwingisha ne kumulelesha pampasa yakendi pakati pabantu ne kumushikisha pantangu pa Yesu.
Walipokuwa hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya umati wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondoa baadhi ya matofali, wakamteremsha yule mgonjwa kwa mkeka wake hadi katikati ya ule umati pale mbele ya Yesu.
20 Yesu mpwalabona kushoma kwakendi, “Walambeti, bwipishi bwakobe bulalekelelwa.”
Yesu alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”
21 Lino beshikwiyisha Milawo kayi ne Bafalisi balatatika kwipushaneti, “Nomba uyu niyani lanyashanga Lesa? Niyani welela kulekelela bwipishi sena nte Lesa enka?”
Mafarisayo na wale walimu wa sheria wakaanza kuuliza, “Ni nani mtu huyu anayesema maneno ya kukufuru? Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
22 Lino Yesu walenshiba ncobalikuyeya mumyoyo yabo neku bepusheti, “Nomba mulayeyelenga cani bintu bya mushoboyo mu myoyo yenu?
Yesu akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
23 Nicipeyo capuba kwambila muntu eti, ‘Bwipishi bwakobe bulalekelelwa,’ Nambi kwambeti, ‘Nyamuka, wende’
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?
24 Lino ndayandanga kumwambileti mwinshibe kwambeti mwana muntu ukute ngofu shakulekelela bwipishi pacishi ca panshi.” Kufumapo walambila usa watontola mubileti, “Ndakwambilinga, nyamuka, manta mpasa yakobe wenga kucomwenu.”
Lakini ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Akamwambia yule aliyepooza, “Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
25 Popelapo walapunduka bonse kabalanga nemenso abo, walamanta mpasa mpwalikuba wona nekutatika kuya nkalumbaisha Lesa.
Mara yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama mbele yao wote, akachukua mkeka wake, akaenda zake nyumbani, huku akimtukuza Mungu.
26 Bantu bonse balakankamana kayi balatina. Lino balatatika kulumbaisha Lesa ne kwambeti, “Ici ncotulabono lelo, nkatutana tucibonapo sobwe.”
Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”
27 Popelapo Yesu walafuma pansa nekubona weshikusonkesha musonko walikukwiweti Levi, nkali ekala mu ng'anda yamusonko. Yesu walamwambileti, “Nkonkele.”
Baada ya haya, Yesu alitoka na kumwona mtoza ushuru mmoja jina lake Lawi akiwa amekaa forodhani, mahali pake pa kutoza ushuru. Akamwambia, “Nifuate.”
28 Popelapo neye walanyamuka, nekushiya byonse nekumukonkela.
Naye Lawi akaacha kila kitu, akaondoka, akamfuata.
29 Lino Levi walabamba byakulya bingi kwambeti basekelele ne Yesu mu ng'anda yakendi. Kwalikuba beshikusonkesha misonko bangi ne bantu nabambi kabalya pamo.
Kisha Lawi akamfanyia Yesu karamu kubwa nyumbani kwake, nao umati mkubwa wa watoza ushuru na watu wengine walikuwa wakila pamoja nao.
30 Bafalisi nabambi ne beshikwiyisha milawo balatatika kudandaulila beshikwiya ba Yesu eti, “Nomba nicani mulalyelenga nekunwa pamo ne beshikusonkesha kayi ne bantu babwipishi?”
Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
31 Lino Yesu walabakumbuleti, “Bayumi nkabakute kulangaula mu ng'anga sobwe, nsombi balwashi.
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.
32 Ndiya kwishila balulama nsombi babwipishi kwambeti basanduke mu myoyo yabo.”
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”
33 Bantu nabambi balepusha Yesu eti, “Beshikwiya ba Yohane mubatishi bali kuba necindi cakulikanisha kulya nekupaila, naboyo beshikwiya ba Bafalisi bangi balikwinsa copeleco, bakobe baliya cindi camushoboyo, balo bakute kulya ne kunwowa.”
Wakamwambia Yesu, “Wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo mara kwa mara hufunga na kuomba, lakini wanafunzi wako wanaendelea kula na kunywa.”
34 Lino Yesu walabakumuleti, “Sena balikubwinga ingamubakakatisha kutalya nebanabo, shibwinga kacilipo? Sobwe!
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao?
35 Nsombi cindi nicikashike shibwinga mpoti bakamufunyepo pali endibo, Lino ico cindi nibakalikanishe kulya.”
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.”
36 Kufumapo Yesu walabambila cikoshanisho eti, “Kuliya muntu welela kukwamuna cimami cacikwisa caina nekutunga pa cakufwala cakeendi. Nkela kwinseco pakwinga naco ngacononga cikwisa kayi cimami nkacela kwendelana pacakufwala ico sobwe.
Yesu akawapa mfano huu, akawaambia: “Hakuna mtu achanaye kiraka kutoka kwenye nguo mpya na kukishonea kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, atakuwa amechana nguo mpya, na kile kiraka hakitalingana na ile nguo iliyochakaa.
37 Kuliya muntu welela kubika waini walino lino munkomwa yacipaya cakendi. Nalabikimo waini walino lino ukute kupasula nkomwa. Waini wonse ngawitika ne konongeka.
Hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo yote itamwagika.
38 Nomba waini walino lino welela kubikiwa mucinkuli calino lino.
Divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
39 Kuliya muntu welela kuyanda kunwa waini walino lino na lanu waini wakaindi pakwinga mukute kwambeti, ‘Usa wakaindi ewaina.’”
Wala hakuna mtu anayependelea divai mpya baada ya kunywa divai ya zamani, bali husema, ‘Ile ya zamani ni nzuri zaidi.’”

< Luka 5 >