< Psalmi 146 >

1 Hvalite Gospoda. Hvali Gospoda, oh moja duša.
Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2 Medtem ko živim, bom hvalil Gospoda; medtem ko imam kakršen koli obstoj, bom prepeval hvalnice svojemu Bogu.
Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
3 Svojega trdnega upanja ne polagaj v prince niti v človeškega sina, v katerem ni pomoči.
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4 Njegov dih gre dalje, vrača se k svoji zemlji; na ta isti dan propadejo njegove misli.
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5 Srečen je tisti, ki ima za svojo pomoč Jakobovega Boga, katerega upanje je v Gospodu, njegovemu Bogu,
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6 ki je naredil nebo in zemljo, morje in vse, kar je tam notri, ki na veke ohranja resnico,
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
7 ki izvršuje sodbo za zatiranega, ki daje hrano lačnemu. Gospod osvobaja jetnike,
Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
8 Gospod slepim odpira oči, Gospod dviguje tiste, ki so sklonjeni, Gospod ljubi pravične,
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
9 Gospod varuje tujce in podpira osirotelega in vdovo, toda pot zlobnih postavlja na glavo.
Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
10 Gospod bo kraljeval na veke, celó tvoj Bog, oh Sion, vsem rodovom. Hvalite Gospoda.
Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.

< Psalmi 146 >