< Luka 9 >

1 Potem je sklical skupaj svoje dvanajstere učence in jim dal moč in oblast nad vsemi hudiči in za ozdravljanje bolezni.
Akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa uwezo na mamlaka juu ya mapepo yote na kuponya magonjwa.
2 In poslal jih je, da oznanjajo Božje kraljestvo in da ozdravljajo bolne.
Akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
3 Rekel jim je: »Za svoje potovanje ne vzemite ničesar, niti palic, prav tako ne malhe, niti kruha, niti denarja, niti ne imejte vsak po dva plašča.
Akawaambia, “Msichukue chochote kwa ajili ya safari yenu wala fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala pesa wala msichukue kanzu mbili.
4 In v katerokoli hišo vstopite, tam ostanite in od tam odidite.
Nyumba yoyote mtakayo iingia, kaeni humo mpaka mtakapo ondoka mahali hapo.
5 Kdorkoli vas ne bo sprejel, kadar greste iz tega mesta, si iz svojih stopal otresite prav [ta] prah, v pričevanje proti njim.«
Na kwa wale wasio wapokea, mtakapo ondoka mji huo, jikung'uteni vumbi katika miguu yenu kwa ushuhuda juu yao”.
6 In odpravili so se in šli skozi mesta in oznanjali evangelij in povsod ozdravljali.
Wakaondoka na kwenda kupitia vijijini, wakitangaza habari njema na kuponya watu kila mahali.
7 Torej Herod, vladar četrtinskega dela province, je slišal o vsem, kar je bilo storjeno po njem; in bil je zmeden, zato ker so nekateri rekli, da je bil Janez obujen od mrtvih,
Sasa Herode, mtawala, alisikia yote yaliyo kuwa yakitokea alitaabika sana, kwa sababuu ilisemekana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji amefufuka kutoka wafu,
8 in od nekaterih, da se je pojavil Elija in od drugih, da je vstal eden izmed starih prerokov.
na baathi kwamba Elia amekwisha tokea, na kwa wengine kwamba mmoja wa manabii wa zamani amefufuka katika wafu tena.
9 Herod pa je rekel: »Janeza sem jaz obglavil, toda kdo je ta, o katerem slišim takšne stvari?« In želel si je, da bi ga videl.
Herode alisema, “nilimchinja Yohana, lakini huyu ni nani ninae sikia habari zake? Na Herode alitafuta njia ya kumwona Yesu.
10 In apostoli, ko so se vrnili, so mu povedali vse, kar so storili. In vzel jih je in odšel stran, na samo, v zapuščen kraj, ki je pripadal mestu z imenom Betsajda.
Wakati waliporudi wale waliotumwa, wakamwamwambia kila kitu walicho fanya. Akawachukua pamoja naye, akaenda peke yake katika mji uitwao Bethsadia.
11 Ko je množica to izvedela, mu je sledila in sprejel jih je ter jim govoril o Božjem kraljestvu in ozdravil te, ki so imeli potrebo po ozdravljenju.
Lakini makutano wakasikia kuhusu hili wakamfuata, na aliwakaribisha, na akaongea nao kuhusu ufalme wa Mungu, na aliwaponya wale waliohitaji uponyaji.
12 In ko je dan začel minevati, potem so prišli dvanajsteri ter mu rekli: »Pošlji množico proč, da lahko gredo v mesta in naokoli po deželi ter prenočijo in si preskrbijo živeža, kajti tukaj smo na samotnem kraju.«
Siku ikaanza kuisha, na wale kumi na wawili wakaenda kwake na kusema, “Watawanye makutano kwamba waende katika vijiji vya karibu na mijini wakatafute mapumziko na chakula, kwa sababu tupo eneo la nyikani.”
13 Toda rekel jim je: »Vi jim dajte jesti.« Oni pa so rekli: »Nimamo več kot pet hlebov in dve ribi, razen, če bi šli in za vse te ljudi kupili hrano.«
Lakini akawaambia, “Nyie wapeni kitu cha kula.” Wakasema “Hatuna zaidi ya vipande vitano vya mikate na samaki wawili, isipokuwa tungeenda na kununua chakula kwa ajili ya kusanyiko hili la watu.”
14 Kajti bilo jih je okoli pet tisoč mož. In svojim učencem je rekel: »Primorajte jih, da se usedejo v skupine po petdeset.«
Kulikua na wanaume wapatao elfu tano pale. Akawambia wanafunzi wake. “Wakalisheni chini katika makundi ya watu wapatao hamsini kwa kila kundi.
15 In storili so tako in vse so primorali sesti.
Kwa hiyo wakafanya hivyo na watu wa wakaketi chini.
16 Tedaj je vzel pet hlebov in dve ribi in jih, zroč k nebu, blagoslovil in razlomil in dal učencem, da jih postavijo pred množico.
Akachukua mikate mitano na samaki wawili na akatazama mbinguni, akavibariki, na kuvimega katika vipande, akawapa wanafunzi wake ili waviweke mbele ya makutano.
17 In jedli so in vsi so bili nasičeni. In od odlomkov, ki so jim ostali, je bilo nabranih dvanajst košar.
Wote wakala na wakashiba, na vipande vya chakula vilivyo baki viliokotwa na kujaza vikapu kumi na viwili.
18 In pripetilo se je, ko je bil sam in molil, [da] so bili z njim njegovi učenci. In vprašal jih je, rekoč: »Kdo pravi množica, da sem jaz?«
Nayo ikawa kwamba, alipokuwa akiomba peke yake, wanafunzi wake walikuwa pamoja naye, na akawauliza akisema, “watu husema mimi ni nani?”
19 Rekli so in odgovorili: »›Janez Krstnik, ‹ toda nekateri pravijo: ›Elija‹ in drugi pravijo, da je vstal eden izmed starih prerokov.«
Wakijibu, wakasema, “Yohana mbatizaji, lakini wengine husema Eliya, na wengine husema mmoja wa manabii wa nyakati za zamani amefufuka tena.”
20 Rekel jim je: »Toda kdo vi pravite, da sem jaz?« Peter mu reče in odgovori: »Kristus od Boga.«
Akawambia, “Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?” Akijibu Petro akasema, “Kristo kutoka kwa Mungu.”
21 In strogo jim je naročil in jim ukazal, da te besede ne povedo nobenemu človeku,
Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza kutomwambia yeyote juu ya hili,
22 rekoč: »Sin človekov mora pretrpeti mnoge stvari in biti zavrnjen od starešin in visokih duhovnikov in pisarjev in umorjen bo in tretji dan bo obujen.«
akasema kwamba mwana wa Adamu lazma ateseke kwa mambo mengi na kukataliwa na wazee na Makuhani wakuu na waandishi, na atauawa, na siku ya tatu atafufuka.
23 Njim vsem pa je rekel: »Če hoče katerikoli človek priti za menoj, naj se odpove samemu sebi in vsak dan vzame svoj križ ter mi sledi.
Akawambia wote, “kama mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku, na anifuate.
24 Kajti kdorkoli hoče rešiti svoje življenje, ga bo izgubil, toda kdorkoli hoče izgubiti svoje življenje zaradi mene, ta isti ga bo rešil.
Yeyote ajaribuye kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote apotezae maisha yake kwa faida yangu, atayaokoa.
25 Kajti kaj človeku koristi, če si pridobi ves svet, pa izgubi samega sebe ali je zavržen?
Je kitamfaidia nini mwanadamu, kama akiupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au akapata hasara ya nafsi yake?
26 Kajti kdorkoli se bo sramoval mene in mojih besed, njega se bo sramoval Sin človekov, ko bo prišel v svoji lastni slavi in v [slavi] svojega Očeta in svetih angelov.
Yeyote atakaye nionea aibu mimi na maneno yangu, kwake yeye mwana wa Adam atamuonea aibu atakapo kuwa katika utukufu wake, na utukufu wa Baba na malaika watakatifu.
27 Toda povem vam po resnici, tam bo nekaj tukaj navzočih, ki ne bodo okusili smrti, dokler ne bodo videli Božjega kraljestva.«
Lakini ninawaambia ukweli, kuna baadhi yenu wasimamao hapa, hawata onja umauti mpaka wauone ufalme wa Mungu.”
28 In pripetilo se je okoli osmega dne po teh govorih, da je vzel Petra in Janeza in Jakoba ter odšel gor na goro, da moli.
Ikatokea yapata siku nane baada ya Yesu kusema maneno haya kwamba akawachukua pamoja nae Petro, Yohana na, Yakobo, wakapanda mlimani kuomba.
29 In medtem ko je molil, je bil videz njegovega obličja predrugačen in njegova oblačila so bila bela in sijoča.
Na alipokuwa katika kuomba, muonekano wa uso wake ulibadilika, na mavazi yake yakawa meupe na ya kung'aa.
30 In glej, z njim sta govorila dva moža, ki sta bila Mojzes in Elija.
Na tazama, walikuwepo wanaume wawili wakiongea naye! Walikuwa Musa na Elia,
31 Prikazala sta se v slavi in govorila o njegovem odhodu, ki naj bi ga dovršil v Jeruzalemu.
walionekana katika utukufu. Waliongea kuhusu kuondoka kwake, jambo ambalo alikaribia kulitimiza Yerusalem.
32 Toda Peter in ta dva, ki sta bila z njim, so bili obteženi s spanjem. Ko so se zbudili, so videli njegovo slavo in dva moža, ki sta stala z njim.
Sasa Petro na wale waliokua pamoja naye walikuwa katika usingizi mzito. Lakini walipokuamka, waliuona utukufu wake na wanaume wawili waliokuwa wamesimama pamoja nae.
33 In pripetilo se je, ko sta odšla od njega, da je Peter rekel Jezusu: »Učitelj, dobro je za nas, da smo tukaj. Naredimo tri šotore: enega zate in enega za Mojzesa in enega za Elija, « pa ni vedel, kaj je govoril.
Ikatokea kwamba, walipokuwa wakiondoka kwa Yesu, Petro akamwambia, “Bwana, ni vizuri kwetu kukaa hapa na inatupasa tutengeneze makazi ya watu watatu. Tutengeneze moja kwa ajili yako, moja kwa ajili ya Musa, na moja kwa ajili ya Eliya.” Hakuelewa alichokuwa akiongelea.
34 Medtem ko je tako govoril, je prišel oblak in jih zasenčil in ko so vstopili v oblak, so se prestrašili.
Alipokuwa akisema hayo, likaja wingu na likawafunika; na waliogopa walipoona wamezunguwa na wamezungukwa na wingu.
35 In iz oblaka je prišel glas, rekoč: »Ta je moj ljubljeni Sin, njega poslušajte.«
Sauti ikatoka kwenye wingu ikasema, “Huyu ni Mwanangu mteule. Msikilizeni yeye.”
36 In ko je glas minil, se je Jezus znašel sam. Oni pa so [to] obdržali zase in v tistih dneh nobenemu človeku niso povedali o teh stvareh, ki so jih videli.
Sauti iliponyamaza, Yesu alikuwa peke yake. walikaa kimya, na katika siku hizo hawakumwambia yeyote lolote miongoni mwa waliyoyaona.
37 In pripetilo se je, da ga je naslednji dan, ko so prišli dol s hriba, srečalo mnogo ljudi.
Siku iliyofuata, baada ya kutoka mlimani, kusanyiko kubwa la watu lilikutana naye.
38 In glej, mož iz skupine je zavpil, rekoč: »Učitelj, rotim te, poglej na mojega sina, kajti on je moj edini otrok.
Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko alilia kwa sauti, akisema, “Mwalimu ninakuomba umtazame mwanangu, kwa kuwa ni mwanangu wa pekee.
39 In glej, duh ga napada in nenadoma vpije in trga ga, da se ponovno peni in ko ga močno udari, odide od njega.
Unaona roho chafu humshika, na mara hupiga kelele, na pia humfanya achanganyikiwe na kutokwa povu kinywani. Nayo humtoka kwa shida, ikimsababshia maumivu makali.
40 In rotil sem tvoje učence, da ga izženejo iz njega, pa niso mogli.«
Naliwasihi wanafunzi wako kuikea itoke. lakini hawakuweza.”
41 Jezus pa odgovori in reče: »O neverni in sprevrženi rod, kako dolgo bom še z vami in vas prenašal? Privedi svojega sina sèm.«
Yesu akajibu akasema, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, mpaka lini nitkaa nanyi na kuchukuliana nanyi? Mlete mwanao hapa.”
42 In ko je šele prihajal, ga je hudič vrgel dol ter ga trgal. In Jezus je oštel nečistega duha in ozdravil otroka ter ga ponovno izročil njegovemu očetu.
Kijana aliokuwa anakuja, roho cha ikamuangusha chini na kumtikisa kwa fujo. Lakini Yesu aliikemea ile roho chafu, alimponya mvulana, na kamkabidhi kwa baba yake.
43 In vsi so bili osupli nad mogočno Božjo močjo. Toda medtem ko so se vsi čudili ob vseh stvareh, ki jih je Jezus storil, je svojim učencem rekel:
Wote walishangazwa na ukuu wa Mungu. Lakini walipokuwa wakistaajabu wote kwa mambo yote aliyo yaliyotedeka, akasema kwa wanafunzi wake,
44 »Naj te besede prodrejo v vaša ušesa, kajti Sin človekov bo izročen v človeške roke.«
“Maneno yawakae masikioni mwenu, kwa kuwa Mwana wa Adamu atatolewa mikononi mwa wanadamu.”
45 Toda tega govora niso razumeli in ta je bil skrit pred njimi, da ga niso zaznali in bali so se ga vprašati o tem govoru.
Lakni hawakuelewa maana ya maneno hayo, na yalifichwa machoni pao, ili wasije wakalielewa. Waliogopa kumuuliza kuhusu neno hilo.
46 Potem je med njimi nastalo razmišljanje, kdo izmed njih naj bi bil največji.
Kisha mgogoro ulianza ulizuka miongoni mwao i juu ya nani angekuwa mkuu.
47 In Jezus, zaznavajoč misel njihovega srca, je vzel otroka ter ga postavil poleg sebe
Lakini Yesu alipotambua walichokuwa wakihojiana mioyoni mwao, alimchukua mtoto mdogo, na kumuweka upande wake,
48 ter jim rekel: »Kdorkoli bo tega otroka sprejel v mojem imenu, sprejema mene in kdorkoli bo sprejel mene, sprejema tistega, ki me je poslal, kajti kdor je najmanjši med vami vsemi, ta isti bo velik.«
na akasema, “kama mtu yeyote akimpokea mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, anipokea mimi pia, na yeyote akinipokea mimi, ampokea pia aliyenituma, kwa kuwa aliye mdogo kati yenu wote ndiye alie mkuu”
49 In Janez je odgovoril ter rekel: »Učitelj, nekoga smo videli v tvojem imenu izganjati hudiče in smo mu prepovedali, ker ne hodi skupaj z nami.«
Yohana akajibu akasema, “Bwana, tulimuona mtu akifukuza pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu haambatani na sisi.”
50 Toda Jezus mu je rekel: »Ne prepovejte mu, kajti kdor ni proti nam, je za nas.«
Lakini Yesu akamwambia, “Msimzuie, kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu”
51 In pripetilo se je, ko je prišel čas, da naj bi bil sprejet gor, se je on neomajno odločil, da gre v Jeruzalem
Ikatokea kwamba, kulinga na siku zilivyokua zikikaribia zsiku zake za kwenda mbinguni, kwa uimara alielekeza uso wake Yerusalemu.
52 in pred svojim obrazom je poslal poslance in ti so šli ter vstopili v vas Samarijanov, da pripravijo zanj.
Akatuma wajumbe mbele yake, nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.
53 Oni pa ga niso sprejeli, ker je bil njegov obraz, kakor da hoče iti v Jeruzalem.
Lakini watu huko hawakumpokea, kwasababu alikua ameelekeza uso wake Yerusalemu.
54 In ko sta njegova učenca, Jakob in Janez, to videla, sta rekla: »Gospod, hočeš, da ukaževa ognju, da pride dol z neba in jih pogoltne, kakor je storil Elija?«
Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipo liona hili, wakasema, “Bwana unahitaji tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze?”
55 Toda on se je obrnil in ju oštel ter rekel: »Vidva ne vesta, iz kakšne vrste duha sta.
Lakini aliwageukia akawakemea.
56 Kajti Sin človekov ni prišel, da pokonča človeška življenja, temveč, da jih reši.« In odšli so v drugo vas.
Kisha walikwenda kijiji kingine.
57 In pripetilo se je, ko so šli po poti, da mu je nek človek rekel: »Gospod, sledil ti bom, kamorkoli greš.«
Walipokuwa wakienda katika njia yao, mtu mmoja akamwambia, “Nitakufuata popote uendapo.”
58 In Jezus mu je rekel: »Lisice imajo luknje in ptice neba imajo gnezda, toda Sin človekov nima kam nasloniti svoje glave.«
Yesu akamwambia, “Mbweha wanamashimo, ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana pakulaza kichwa chake.”
59 In drugemu je rekel: »Sledi mi.« Vendar je ta rekel: »Gospod, dovoli mi najprej, da grem in pokopljem svojega očeta.«
Ndipo akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Lakini yeye akasema, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzika baba yangu,”
60 Jezus mu je rekel: »Naj mrtvi pokopljejo svoje mrtve, ti pa pojdi in oznanjaj Božje kraljestvo.«
Lakini yeye akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, lakini wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu kila mahali.”
61 Prav tako je rekel drugi: »Gospod, sledil ti bom, toda naj grem najprej in se poslovim od teh, ki so doma v moji hiši.«
Pia mtu mwingine akasema. “Nitakufuata, Bwana, lakini niruhusu kwanza nikawaage walio katika nyumba yangu.”
62 In Jezus mu je rekel: »Nihče, ki svojo roko položi na plug in gleda nazaj, ni primeren za Božje kraljestvo.«
Laki Yesu akamwambia hakuna mtu, atiaye mkono wake kulima na kuangalia nyuma atakayefaa kwa ufalme wa Mungu.”

< Luka 9 >