< 1 Kroniška 21 >

1 Satan je vstal zoper Izraela in spodbudil Davida, da prešteje Izraela.
Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.
2 In David je rekel Joábu ter voditeljem ljudstva: »Pojdite, preštejte Izraela od Beeršéba celo do Dana in njihovo število prinesite k meni, da ga bom lahko vedel.«
Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”
3 Joáb je odgovoril: » Gospod naj naredi svoje ljudstvo stokrat tako številno, kot jih je, toda moj gospod kralj, ali niso vsi služabniki mojega gospoda? Zakaj potem moj gospod zahteva to stvar? Zakaj bo on razlog prekrška Izraelu?«
Yoabu akajibu, “Bwana na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”
4 Kljub temu je kraljeva beseda prevladala proti Joábovi. Zato je Joáb odpotoval, šel skozi ves Izrael in prišel v Jeruzalem.
Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.
5 Joáb je Davidu izročil vsoto ljudstva. In vseh iz Izraela je bilo milijon sto tisoč, ki so izdirali meč, in Juda je bilo štiristo sedemdeset tisoč mož, ki so izdirali meč.
Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.
6 Toda Lévijevce in Benjamina pa ni prištel mednje, kajti kraljeva beseda je bila Joábu gnusna.
Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.
7 Bog pa je bil razžaljen s to stvarjo, zato je udaril Izraela.
Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.
8 David je rekel Bogu: »Silno sem grešil, ker sem storil to stvar. Toda zdaj te rotim, odstrani krivičnost svojega služabnika, kajti storil sem zelo nespametno.«
Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
9 Gospod je spregovoril Davidovemu vidcu Gadu:
Bwana akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,
10 »Pojdi in povej Davidu, rekoč: ›Tako govori Gospod: ›Ponujam ti tri stvari. Izberi eno izmed njih, da ti jo bom lahko storil.‹«
“Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
11 Tako je Gad prišel k Davidu in mu rekel: »Tako govori Gospod: ›Izberi si
Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Chagua:
12 ali tri leta lakote, ali tri mesece uničenja pred svojimi sovražniki, medtem ko te dohiteva meč tvojih sovražnikov, ali tri dni Gospodovega meča, celo kužne bolezni v deželi in uničevanje od Gospodovega angela po vseh Izraelovih pokrajinah. Sedaj si torej svetuj, kakšno besedo naj ponovno prinesem tistemu, ki me je poslal.‹«
miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Bwana, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa Bwana akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”
13 David je rekel Gadu: »V veliki stiski sem. Naj torej padem v Gospodovo roko, kajti zelo velika so njegova usmiljenja, toda naj ne padem v roko človeka.«
Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa Bwana kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”
14 Tako je Gospod nad Izrael poslal kužno bolezen in izmed Izraela je padlo sedemdeset tisoč mož.
Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.
15 Bog je poslal angela k Jeruzalemu, da ga uniči. Medtem ko je ta uničeval, je Gospod opazoval, se pokesal od zla in rekel angelu, ki je uničeval: »Dovolj je, zadrži sedaj svojo roko.« In Gospodov angel je stal pri mlatišču Jebusejca Ornana.
Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Bwana akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
16 David je povzdignil svoje oči in zagledal Gospodovega angela stati med zemljo in nebom, ki je imel v svoji roki izvlečen meč, iztegnjen nad Jeruzalemom. Potem so David in starešine Izraela, ki so bili oblečeni v vrečevino, padli na svoje obraze.
Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa Bwana akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.
17 David pa je rekel Bogu: » Ali nisem to jaz, ki sem zapovedal, da se ljudstvo prešteje? Celo jaz sem ta, ki je grešil in zares storil zlo. Toda kar se tiče teh ovc, kaj so te storile? Naj bo tvoja roka, prosim te, oh Gospod, moj Bog, na meni in na hiši mojega očeta, toda ne na tvojem ljudstvu, da bi bili trpinčeni.«
Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee Bwana, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”
18 Potem je Gospodov angel zapovedal Gadu, da reče Davidu, naj gre David gor in postavi oltar Gospodu na mlatišču Jebusejca Ornana.
Kisha malaika wa Bwana akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
19 David je na Gadovo besedo, ki jo je govoril v Gospodovem imenu, odšel gor.
Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la Bwana.
20 Ornan pa se je obrnil in zagledal angela in njegovi štirje sinovi so se z njim vred skrili. Torej Ornan je mlatil pšenico.
Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.
21 Ko je David prišel k Ornanu, je Ornan pogledal in zagledal Davida in šel ven iz mlatišča in se pripognil k Davidu s svojim obrazom do tal.
Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.
22 Potem je David rekel Ornanu: »Zagotovi mi prostor tega mlatišča, da bom na njem lahko zgradil oltar Gospodu. Zagotovil mi ga boš za polno ceno, da bo nadloga lahko ustavljena pred ljudstvom.«
Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya Bwana tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”
23 Ornan je rekel Davidu: »Vzemi to k sebi in naj moj gospod kralj stori to, kar je dobro v njegovih očeh. Glej, dam ti tudi vola za žgalne daritve, mlatilne priprave za les in pšenico za jedilno daritev; vse to dam.«
Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”
24 Kralj David je rekel Ornanu: »Ne, temveč bom to resnično kupil za polno ceno, kajti ne bom vzel tega, kar je tvoje, za Gospoda niti žgalne daritve daroval brez stroška.«
Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya Bwana au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”
25 Tako je David dal Ornanu za prostor šeststo šeklov zlata po teži.
Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600 kwa ajili ya ule uwanja.
26 David je tam zgradil oltar Gospodu in daroval žgalne daritve in mirovne daritve in klical h Gospodu in ta mu je iz nebes odgovoril z ognjem na oltar žgalne daritve.
Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita Bwana naye Bwana akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
27 Gospod je zapovedal angelu in ta je svoj meč ponovno vtaknil v svojo nožnico.
Kisha Bwana akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
28 V tistem času, ko je David videl, da mu je Gospod odgovoril na mlatišču Jebusejca Ornana, potem je tam žrtvoval.
Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Bwana amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.
29 Kajti Gospodovo šotorsko svetišče, ki ga je Mojzes naredil v divjini in oltar žgalne daritve sta bila v tem obdobju na visokem kraju pri Gibeónu.
Maskani ya Bwana ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.
30 Toda David ni mogel iti predenj, da bi povprašal od Boga, kajti bal se je zaradi meča Gospodovega angela.
Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa Bwana.

< 1 Kroniška 21 >