< От Луки святое благовествование 6 >

1 Бысть же в субботу второпервую ити Ему сквозе сеяния: и восторгаху ученицы Его класы, и ядяху, стирающе руками.
Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
2 Нецыи же от фарисей реша им: что творите, егоже не достоит творити в субботы?
Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
3 И отвещав Иисус рече к ним: ни ли сего чли есте, еже сотвори Давид, егда взалкася сам и иже с ним бяху?
Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
4 Како вниде в дом Божий, и хлебы предложения взем, и яде, и даде и сущым с ним, ихже не достояше ясти, токмо единем иереем?
Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
5 И глаголаше им, яко господь есть Сын Человеческий и субботе.
Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
6 Бысть же и в другую субботу внити Ему в сонмище и учити: и бе тамо человек, и рука ему десная бе суха.
Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
7 Назираху же книжницы и фарисее, аще в субботу изцелит, да обрящут речь Нань.
Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
8 Он же ведяше помышления их и рече человеку имущему суху руку: востани и стани посреде. Он же востав ста.
Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
9 Рече же Иисус к ним: вопрошу вы: что достоит в субботы, добро творити, или зло творити? Душу спасти, или погубити? Они же умолчаша.
Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
10 И воззрев на всех их, рече ему: простри руку твою. Он же сотвори тако: и утвердися рука его здрава яко другая.
“Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
11 Они же исполнишася безумия и глаголаху друг ко другу, что быша сотворили Иисусови.
Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
12 Бысть же во дни тыя, изыде в гору помолитися: и бе об нощь в молитве Божии.
Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
13 И егда бысть день, призва ученики Своя: и избра от них дванадесяте, ихже и Апостолы нарече:
Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
14 Симона, егоже именова Петра, и Андреа брата его, Иакова и Иоанна, Филиппа и Варфоломеа,
Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
15 Матфеа и Фому, Иакова Алфеева и Симона нарицаемаго Зилота,
Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
16 Иуду Иаковля, и Иуду Искариотскаго, иже и бысть предатель.
Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
17 Изшед с ними, ста на месте равне: и народ ученик Его, и множество много людий от всея Иудеи и Иерусалима, и помория Тирска и Сидонска,
Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
18 иже приидоша послушати Его и изцелитися от недуг своих, и страждущии от дух нечистых: и изцеляхуся.
Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
19 И весь народ искаше прикасатися Ему: яко сила от Него исхождаше и изцеляше вся.
Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
20 И Той возвед очи Свои на ученики Своя, глаголаше: блажени нищии духом: яко ваше есть Царствие Божие.
Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Блажени, алчущии ныне: яко насытитеся. Блажени, плачущии ныне: яко возсмеетеся.
Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
22 Блажени будете, егда возненавидят вас человецы, и егда разлучат вы и поносят, и пронесут имя ваше яко зло, Сына Человеческаго ради.
Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
23 Возрадуйтеся в той день и взыграйте: се бо, мзда ваша многа на небеси. По сим бо творяху пророком отцы их.
Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
24 Обаче горе вам богатым: яко отстоите утешения вашего.
Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
25 Горе вам, насыщеннии ныне: яко взалчете. Горе вам смеющымся ныне: яко возрыдаете и восплачете.
Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
26 Горе, егда добре рекут вам вси человецы. По сим бо творяху лжепророком отцы их.
Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
27 Но вам глаголю слышащым: любите враги вашя, добро творите ненавидящым вас,
Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
28 благословите кленущыя вы, и молитеся за творящих вам обиду.
Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
29 Биющему тя в ланиту, подаждь и другую: и от взимающаго ти ризу, и срачицу не возбрани.
Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
30 Всякому же просящему у тебе дай: и от взимающаго твоя не истязуй.
Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
31 И якоже хощете да творят вам человецы, и вы творите им такожде.
Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
32 И аще любите любящыя вы, кая вам благодать есть? Ибо и грешницы любящыя их любят.
Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
33 И аще благотворите благотворящым вам, кая вам благодать есть? Ибо и грешницы тожде творят.
Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
34 И аще взаим даете, от нихже чаете восприяти, кая вам благодать есть, ибо и грешницы грешником взаим давают, да восприимут равная.
Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
35 Обаче любите враги вашя, и благотворите, и взаим дайте, ничесоже чающе: и будет мзда ваша многа, и будете сынове Вышняго: яко Той благ есть на безблагодатныя и злыя.
Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
36 Будите убо милосерди, якоже и Отец ваш милосерд есть.
Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37 И не судите, и не судят вам: (и) не осуждайте, да не осуждени будете: отпущайте, и отпустят вам:
Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
38 дайте, и дастся вам: меру добру, наткану и потрясну и преливающуся дадят на лоно ваше: тою бо мерою, еюже мерите, возмерится вам.
Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
39 Рече же притчу им: еда может слепец слепца водити? Не оба ли в яму впадетася?
Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
40 Несть ученик над учителя своего: совершен же всяк будет, якоже и учитель его.
Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
41 Что же видиши сучец, иже есть во очеси брата твоего, бервна же, еже есть во очеси твоем, не чуеши?
Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
42 Или како можеши рещи брату твоему: брате, остави, да изму сучец, иже есть во очеси твоем, сам сущаго во очеси твоем бервна не видя? Лицемере, изми первее бервно из очесе твоего, и тогда прозриши изяти сучец из очесе брата твоего.
Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
43 Несть бо древо добро, творя плода зла: ниже древо зло, творя плода добра.
Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Всяко бо древо от плода своего познается: не от терния бо чешут смоквы, ни от купины емлют гроздия.
Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
45 Благий человек от благаго сокровища сердца своего износит благое: и злый человек от злаго сокровища сердца своего износит злое: от избытка бо сердца глаголют уста его.
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
46 Что же Мя зовете: Господи, Господи, и не творите, яже глаголю?
Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
47 Всяк грядый ко Мне и слышай словеса Моя и творя я, скажу вам, кому есть подобен:
Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
48 подобен есть человеку зиждущу храмину, иже ископа и углуби, и положи основание на камени: наводнению же бывшу, припаде река ко храмине той, и не може поколебати ея: основана бо бе на камени.
Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
49 Слышавый же и не сотворивый подобен есть человеку создавшему храмину на земли без основания: к нейже припаде река, и абие падеся, и бысть разрушение храмины тоя велие.
Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.

< От Луки святое благовествование 6 >