< Книга Иисуса Навина 16 >

1 И быша пределы сынов Иосифовых от Иордана иже ко Иерихону от восток, и восходят от Иерихона в горную пустыню в Вефиль,
Nchi waliyopewa kabila la Yusufu ilianzia katika Yordani huko Yeriko, mashariki mwa chemichemi za Yeriko, kupitia nyikani, kupanda kutoka Yeriko kupitia nchi ya milima ya Betheli.
2 и исходят от Вефиля в Лузу, и преходят к пределом Ахиатарофа:
Kisha uliendelea kutoka Betheli hadi Luzi na kupita hata Atarothi, iliyo miliki ya Waarkiti.
3 и прейдут к морю к пределом Иефалтимским, даже до предел Вефорона нижняго и даже до Газера, и будет исход их к морю.
Kisha ilishuka chini upande wa magharibi kuelekea himaya ya Wayafuleti, hadi kufika miliki ya Loweri Bethi Horoni, na kisha iliendelea hadi Gezeri; na ilikomea katika bahari.
4 И наследствоваша сынове Иосифовы Ефрем и Манассий,
Ilikuwa ni kwa njia hii makabila ya Yusufu, yaani Manase na Efraimu yalipata urithi wao.
5 и быша пределы сынов Ефремлих по сонмом их: и быша пределы наследия их от восток Атароф и Адар, даже до Вефорона вышняго и Газары,
Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao lilikuwa kama ifuatavyo: mpaka wa urithi wao katika upande wa mashariki ulikuwa Atarothi Ada uliopanda kuelekea Bethi Horoni ya juu,
6 и преходят пределы к морю в Махфоф от севера, и идут на восток во Финаф-Силом, и прейдут от восток во Ианоха,
na kutoka pale uliendelea hadi katika bahari. Kutoka Mikimethathi katika upande wa Kasikazini ulipinda upande wa mashariki kuelkea Taanathi Shilo na kupita ng'ambo yake katika upande wa mashariki kukabili Yanoa.
7 и от Ианоха снидут во Атароф и в Наарафа и веси их: и приходят ко Иерихону и исходят ко Иордану,
Kisha ulishuka kutoka Yanoa hadi Atarothi na hata Naara, na kisha ukafika Yeriko, na kuishia katika Yordani.
8 и от Тапфу пойдут пределы к морю к водотечи Кана, и будет исход его к морю. Сие наследие племене сынов Ефремлих по сонмом их.
Kutoka Tapua, mpaka uliendelea katika upande wa magharibi hata kijito cha Kana na ulikomea katika bahari. Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu, uliogawanywa katika koo zao,
9 И грады отлученныя сыном Ефремлим посреде наследия сынов Манассииных, вси гради и веси их.
pamoja na miji yao iliyochaguliwa kwa ajili ya kabila la Efraimu iliyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase - miji yote pamoja na vijiji vyao.
10 И не погуби Ефрем Хананеа живущаго в Газере: и обиташа Хананее посреде Ефрема, дающе ему дани до днешняго дне, дондеже взыде фараон царь Египетский, и взя град, и запали его огнем: и Хананеев и Ферезеев и живущих в Газере избодоша: и даде его фараон в вено дщери своей.
Lakini hawakuwafukuza Wakanaani walioishi katika Gezeri, hivyo basi Wakanaani wanaishi ndani ya Efraimu hadi leo, lakini watu hawa walifanywa kuwa watumwa.

< Книга Иисуса Навина 16 >