< Книга пророка Ионы 2 >

1 И помолися Иона ко Господу Богу своему от чрева китова
Kisha Yona akamwomba Bwana Mungu wake kutoka katika tumbo la samaki.
2 и рече: возопих в скорби моей ко Господу Богу моему, и услыша мя из чрева адова вопль мой, услышал еси глас мой: (Sheol h7585)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
3 отвергл мя еси во глубины сердца морскаго, и реки обыдоша мя вся высоты Твоя и волны Твоя мне преидоша.
Ulikuwa umenitupa ndani ya kina, ndani ya moyo wa bahari, na maji yaliyonizunguka; mawimbi yako yote na gharika yalipita juu yangu.
4 И аз рех: отринуся от очию Твоею: еда приложу призрети ми ко храму святому Твоему?
Nikasema, 'Nimefukuzwa mbele ya macho yako; lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu. '
5 Возлияся на мя вода до души моея, бездна обыде мя последняя, понре глава моя в разселины гор,
Maji yalifunika kunizunguka karibu na shingo yangu; kina kilinizunguka; mwani ukakizinga kichwa changu.
6 снидох в землю, еяже вереи ея заклепи вечнии: и да взыдет из истления живот мой к Тебе, Господи Боже мой.
Nilikwenda chini ya milima; nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele. Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni, Bwana, Mungu wangu!
7 Внегда скончаватися от мене души моей, Господа помянух, и да приидет к Тебе молитва моя ко храму святому Твоему.
Wakati nafsi yangu ilipozimia ndani yangu, nikamwita Bwana; basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu.
8 Хранящии суетная и ложная милость свою оставиша:
Wote ambao huzingatia miungu isiyofaa hukataa uaminifu wako wao wenyewe.
9 аз же со гласом хваления и исповедания пожру Тебе, елика обещах, воздам Тебе во спасение мое Господеви.
Lakini mimi, nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani; Nitayatimiza yale niliyoapa. Wokovu hutoka kwa Bwana!
10 И повеле Господь китови, и изверже Иону на сушу.
Kisha Bwana akanena na samaki, akamtapika Yona juu ya nchi kavu.

< Книга пророка Ионы 2 >