< Књига пророка Захарије 11 >

1 Отвори, Ливане, врата своја, и огањ нека прождре кедре твоје.
Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mielezi yako!
2 Ридај, јело, јер паде кедар, јер красници пропадоше; ридајте, храстови васански, јер се посече шума ограђена.
Omboleza, enyi miti ya misonobari, kwani mierezi imeanguka! Kilichokuwa cha fahari kimeteketezwa! Ombolezeni, enyi mialoni ya Bashani, kwani msitu wenye nguvu umeshushwa.
3 Стоји јаук пастира, јер се затре слава њихова; стоји рика лавова, јер се опустоши понос јордански.
Wachungaji wanapiga yowe, kwa kuwa utukufu wao umeharibiwa! Sauti ya mungurumo wa wana simba, kwa kuwa kiburi cha Mto Yordani kimeharibiwa!
4 Овако вели Господ Бог мој: Паси овце кланице,
Hivi ndivyo asemavyo Yahwe Mungu wangu, “Lichungeni kundi la kondoo lililotiyari kuchinjwa!
5 Које убијају они који их држе, нити их ко криви, и који их продају говоре: Благословен да је Господ, обогатих се; и који их пасу, ниједан их не жали.
(Wanaowanunua wanawachinja bila kuhadhibiwa, nao wawauzao husema, 'Atukuzwe Yahwe! Nimetajirika! Kwa maana wachungaji wafanyao kazi kwa wenye kondoo hawawahurumii.)
6 Зато нећу више жалити становника земаљских, говори Господ, него ћу, ево предати једног другом у руке и у руке цару њиховом, и они ће потрти земљу, а ја је нећу избавити из руку њихових.
Kwa maana hiyo sitawahurumia tena wenyeji wa nchi! - hivi ndivyo asemavyo Yahwe. Tazama! Mimi mwenyewe nipo tiyari kumwelekeza kila mtu katika mkono wa jirani yake na katika mkono wa mfalme wake, nao wataiharibu nchi na hakuna hata mmoja wao nitakayemwokoa kutoka katika mkono wao.”
7 И пасох овце кланице, невољне од стада, и узевши два штапа назвах један благост, а други назвах свеза, и пасох стадо.
Hivyo nikawa mchungaji wa kondoo walioamriwa kuchinjwa, kwa wanaowashughulikia kondoo. Nilichukua fimbo mbili; fimbo moja nikaiita “Neema” na nyingine nikaiita “Umoja.” Kwa njia hii niliwachunga kondoo.
8 И погубих три пастира за месец дана, јер се душа моја љућаше на њих, и душа њихова мржаше на ме.
Ndani ya mwezi mmoja niliwaangamiza wachungaji watatu, kwa maana sikuwavumilia tena, wao pia walinichukia.
9 И рекох: Нећу вас више пасти; која погине нека погине, и која пропадне нека пропадне, и које остану нека једу месо једна другој.
Ndipo nilipowaambia wamiliki, “Sitafanya kazi kama mchungaji wenu tena. Wakondoo wafao - na wafe; kondoo wanaoangamizwa - na waangamizwe. Na kondoo wasaliao kila mmoja ale nyama ya jirani yake.”
10 И узех свој штап, благост, и сломих га да укинем завет свој који учиних са свим народима.
Hivyo nikaichukua fimbo yangu “Neema” na nikaivunja kuvunja agano nililokuwa nimelifanya na kabila zangu zote.
11 И укиде се оног дана, и невољни од стада, који гледаху на ме, познаше доиста да беше реч Господња.
Katika siku hiyo agano lilivunjwa, na wale wanaoshughulika na kondoo na waliokuwa wakiniangalia walifahamu kwamba Yahwe amesema.
12 И рекох им: Ако вам је драго, дајте ми моју плату; ако ли није немојте; и измерише ми плату, тридесет сребрника.
Nikawaambia, “Ikiwa itawapendeza, nilipeni ujira wangu. Kama sivyo, msifanye hivyo.” Hivyo wakapima ujira wangu - vipande thelathini vya fedha.
13 И рече ми Господ: Баци лончару ту часну цену којом ме проценише. И узевши тридесет сребрника бацих их у дом Господњи лончару.
Kisha Yahwe akaniambia, “Weka fedha katika hazina, thamani nzuri zaidi ambayo walikupa!” Hivyo nikachukua vipande thelathini vya fedha na kuviweka katika hazina ndani ya nyumbani Yahwe.
14 Потом сломих други штап свој, свезу, да укинем братство између Јуде и Израиља.
Kisha nikavunja fimbo yangu ya pili, “Umoja,” kuvunja undugu kati ya Yuda na Israeli.
15 И Господ ми рече: Узми јоште оправу безумног пастира.
Yahwe akaniambia, “Tena, chukua chombo cha mchungaji mpumbavu kwa ajili yako mwenyewe,
16 Јер ево ја ћу подигнути пастира у земљи, који неће обилазити оне који гину, неће тражити нејаке, нити ће лечити рањене, нити ће носити сустале, него ће јести месо од претилих, и папке ће им кидати.
kwa maana tazama, niko tiyari kumweka mahali mchungaji katika nchi. Hataangalia kondoo wanaoangamia. Hatatafuta kondoo wapoteao, wala kuwaponya kondoo wachechemeao. Hatawalisha kondoo wenye afya, lakini atakula nyama ya kondoo walionona naye atapasua kwato zao.
17 Тешко пастиру никаквом, који оставља стадо! Мач му је над мишицом и над десним оком; мишица ће му усахнути и десно ће му око потамнети.
Ole kwa wachungaji wasiofaa wanaoliacha kundi la kondoo! Upanga na uje dhidi ya mkono wake na jicho lake la kulia! Mkono wake na ukauke na jicho lake la kulia lipofuke!

< Књига пророка Захарије 11 >