< Песма над песмама 2 >

1 Ја сам ружа саронска, љиљан у долу.
Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
2 Шта је љиљан међу трњем, то је драга моја међу девојкама.
Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
3 Шта је јабука међу дрветима шумским, то је драги мој међу момцима; желех хлад њен, и седох, и род је њен сладак грлу мом.
Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
4 Уведе ме у кућу где је гозба, а застава му је љубав к мени.
Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
5 Поткрепите ме жбановима, придржите ме јабукама, јер сам болна од љубави.
Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
6 Лева је рука његова мени под главом, а десном ме грли.
Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
7 Заклињем вас, кћери јерусалимске, срнама и кошутама пољским, не будите љубави моје, не будите је, док јој не буде воља.
Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
8 Глас драгог мог; ево га, иде скачући преко гора, поскакујући преко хумова.
Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
9 Драги је мој као срна или као јеленче; ево га, стоји иза нашег зида, гледа кроз прозор, вири кроз решетку.
Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
10 Проговори драги мој и рече ми: Устани, драга моја, лепотице моја, и ходи.
Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
11 Јер гле, зима прође, минуше дажди, отидоше.
Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
12 Цвеће се види по земљи, дође време певању, и глас грличин чује се у нашој земљи.
Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
13 Смоква је пустила заметке своје, и лоза винова уцвала мирише. Устани, драга моја, лепотице моја, и ходи.
Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
14 Голубице моја у раселинама каменим, у заклону врлетном! Дај да видим лице твоје, дај да чујем глас твој; јер је глас твој сладак и лице твоје красно.
Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
15 Похватајте нам лисице, мале лисице, што кваре винограде, јер наши виногради цвату.
Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
16 Мој је драги мој, и ја сам његова, он пасе међу љиљанима.
Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
17 Док захлади дан и сенке отиду, врати се, буди као срна, драги мој, или као јеленче по горама раздељеним.
Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.

< Песма над песмама 2 >