< Псалми 68 >

1 Устаће Бог, и расуће се непријатељи Његови, и побећи ће од лица Његовог који мрзе на Њ.
Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2 Ти ћеш их разагнати као дим што се разгони; као што се восак топи од огња, тако ће безбожници изгинути од лица Божијег.
Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3 А праведници ће се веселити, радоваће се пред Богом, и славити у радости.
Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4 Појте Богу, попевајте имену Његовом; равните пут Ономе што иде преко пустиње; Господ Му је име, радујте Му се.
Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
5 Отац је сиротама и судија удовицама Бог у светом стану свом.
Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6 Бог самцима даје задругу, сужње изводи на места обилна, а непокорни живе где је суша.
Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7 Боже! Кад си ишао пред народом својим, кад си ишао преко пустиње,
Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
8 Земља се тресаше, и небо се растапаше од лица Божијег, и овај Синај од лица Бога, Бога Израиљевог.
nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9 Благодатни си дажд изливао, Боже, и кад изнемагаше достојање Твоје, Ти си га крепио.
Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
10 Стадо Твоје живљаше онде; по доброти својој, Боже, Ти си готовио храну јадноме.
Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
11 Господ даје реч; гласника велико је мноштво.
Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
12 Цареви над војскама беже, беже, а која седи дома, дели плен.
Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
13 Смиривши се у својим крајевима, ви сте као голубица, којој су крила посребрена, а перје јој се златни.
Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Кад је Свемогући расипао цареве на овој земљи, она се блисташе као снег на Селмону.
Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
15 Гора је васанска гора Божија; гора је васанска гора хумовита.
Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
16 Зашто гледате завидљиво, горе хумовите? Ево гора, на којој омиле Богу живети, и на којој ће Господ живети довека.
Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
17 Кола Божијих има сила, хиљаде хиљада. Међу њима је Господ, Синај у светињи.
Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
18 Ти си изашао на висину, довео си робље, примио дарове за људе, а и за оне који се противе да овде наставаш, Господе Боже!
Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
19 Благословен Господ сваки дан! Ако нас ко претовара, Бог нам помаже.
Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
20 Овај је Бог наш Бог Спаситељ, у власти су Господу врата смртна.
Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
21 Господ сатире главу непријатељима својим и власато теме оног који остаје у безакоњу свом.
Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
22 Рече Господ: Од Васана ћу довести, довешћу из дубине морске,
Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
23 Да ти огрезне нога у крви непријатељској и језик паса твојих да је лиже.
ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
24 Видеше како идеш, Боже, како свето иде Бог мој, цар мој.
Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
25 Напред иђаху певачи, за њима свирачи сред девојака с бубњевима:
Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
26 "На сабору благосиљајте Господа Бога, који сте из извора Израиљевог!"
Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
27 Онде млади Венијамин, старешина њихов; кнезови Јудини, владаоци њихови; кнезови Завулонови, кнезови Нефталимови.
Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
28 Бог твој даровао ти је силу. Утврди, Боже, ово што си учинио за нас!
Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
29 У цркви Твојој, у Јерусалиму, цареви ће приносити даре.
Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 Укроти звер у риту, код волова с теоцима народа, да би попадали пред Тобом са шипкама сребра; распи народе који желе бојеве.
Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
31 Доћи ће властела из Мисира, Етиопија ће пружити руке своје к Богу.
Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32 Царства земаљска, појте Богу, попевајте Господу,
Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
33 Који седи на небесима небеса исконских. Ево грми гласом јаким.
Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34 Дајте славу Богу; величанство је Његово над Израиљем и сила Његова на облацима.
Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
35 Диван си, Боже, у светињи својој! Бог Израиљев даје силу и крепост народу. Благословен Бог!
Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.

< Псалми 68 >