< Псалми 22 >

1 Боже, Боже мој! Зашто си ме оставио удаљивши се од спасења мог, од речи вике моје?
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 Боже мој! Вичем дању, а Ти ме не слушаш, и ноћу али немам мира.
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 Свети, који живиш у похвалама Израиљевим!
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 У Тебе се уздаше оци наши, уздаше се, и Ти си их избављао.
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 Тебе призиваше, и спасаваше се; у Тебе се уздаше, и не осташе у срамоти.
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 А ја сам црв, а не човек; подсмех људима и руг народу.
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 Који ме виде, сви ми се ругају, разваљују уста, машу главом,
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
8 И говоре ослонио се на Господа, нека му помогне, нека га избави, ако га милује.
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
9 Та, Ти си ме извадио из утробе; Ти си ме умирио на сиси матере моје.
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
10 За Тобом пристајем од рођења, од утробе матере моје Ти си Бог мој.
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
11 Не удаљуј се од мене; јер је невоља близу, а нема помоћника.
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
12 Оптече ме мноштво телаца; јаки волови васански опколише ме;
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
13 Развалише на ме уста своја. Лав је гладан и риче.
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
14 Као вода разлих се; расуше се све кости моје; срце моје поста као восак, растопило се у мени.
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
15 Сасуши се као цреп крепост моја, и језик мој приону за грло, и у прах смртни мећеш ме.
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
16 Опколише ме пси многи; чета зликоваца иде око мене, прободоше руке моје и ноге моје.
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Могао бих избројати све кости своје. Они гледају, и од мене начинише ствар за гледање.
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
18 Деле хаљине моје међу собом, и за доламу моју бацају жреб.
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
19 Али Ти, Господе, не удаљуј се. Сило моја, похитај ми у помоћ.
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
20 Избави од мача душу моју, од пса јединицу моју.
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
21 Сачувај ме од уста лавових, и од рогова биволових, чувши, избави ме.
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22 Казујем име Твоје браћи; усред скупштине хвалићу Те.
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
23 Који се бојите Господа, хвалите Га. Све семе Јаковљево! Поштуј Га. Бој Га се, све семе Израиљево!
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
24 Јер се не оглуши молитве ништег нити је одби; не одврати од њега лице своје, него га услиши кад Га зазва.
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Тебе ћу хвалити на скупштини великој; завете своје свршићу пред онима који се Њега боје.
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 Нека једу убоги и насите се, и нека хвале Господа који Га траже; живо да буде срце ваше довека.
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
27 Опоменуће се и обратиће се ка Господу сви крајеви земаљски, и поклониће се пред Њим сва племена незнабожачка.
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
28 Јер је Господње царство; Он влада народима.
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
29 Јешће и поклониће се сви претили на земљи; пред Њим ће пасти сви који силазе у прах, који не могу сачувати душу своју у животу.
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
30 Семе ће њихово служити Њему. Казиваће се за Господа роду потоњем.
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
31 Доћи ће, и казиваће правду Његову људима његовим, који ће се родити; јер је Он учинио ово.
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!

< Псалми 22 >