< Псалми 20 >

1 Да те услиши Господ у дан жалосни, да те заштити име Бога Јаковљевог.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Да ти пошаље помоћ из светиње, и са Сиона да те поткрепи.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Да се опомене свих приноса твојих, и жртва твоја паљеница да се нађе претила.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Да ти да Господ по срцу твом; шта год почнеш, да ти изврши.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Радоваћемо се за спасење твоје, и у име Бога свог подигнућемо заставу. Да испуни Господ све молбе твоје.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Сад видим да Господ чува помазаника свог; слуша га са светог неба свог; јака је десница Његова, која спасава.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Једни се хвале колима, други коњима, а ми именом Господа Бога свог.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Они посрћу и падају, а ми стојимо и не колебамо се.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Господе! Помози цару, и услиши нас кад Те зовемо.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Псалми 20 >