< 1 Мојсијева 20 >

1 А Аврам отиде оданде на југ, и стани се између Кадиса и Сура; и живеше као дошљак у Герару.
Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari.
2 И говораше за жену своју Сару: Сестра ми је. А цар герарски Авимелех посла те узе Сару.
Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara.
3 Али дође Бог Авимелеху ноћу у сну, и рече му: Гле, погинућеш са жене коју си узео, јер има мужа.
Lakini Mungu akamtokea Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia, “Tazama, wewe ni mfu kutokana na mwanamke uliye mchukua, kwa kuwa ni mke wa mtu.”
4 А Авимелех не беше се ње дотакао, и зато рече: Господе, еда ли ћеш и праведан народ погубити?
Basi Abimeleki alikuwa bado hajamkaribia hivyo akasema, “Bwana, Je utaua hata taifa lenye haki?
5 Није ли ми сам казао: Сестра ми је? А и она сама каза: Брат ми је. Учинио сам у чистоти срца свог и у правди руку својих.
Je si yeye mwenyewe aliye niambia, 'Sara ni dada yangu?' Hata Sara mwenyewe alisema, 'ni kaka yangu.' Nimefanya hili katika uadilifu wa moyo wangu na katika mikono isiyo na hatia.”
6 Тада му рече Бог у сну: Знам да си учинио у чистоти срца свог, зато те сачувах да ми не сагрешиш, и не дадох да је се дотакнеш.
Kisha Mungu akasema naye katika ndoto, “Kweli, ninajua pia kwamba umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako, na pia nilikuzuia usitende dhambi dhidi yangu mimi. Ndiyo maana sikuruhusu umshike.
7 А сада врати човеку жену његову, јер је пророк, и молиће се за те, те ћеш остати жив. Ако ли не вратиш, знај да ћеш умрети ти и сви твоји.
Kwa hiyo, mrudishe huyo mke wa mtu, kwa kuwa ni nabii. Atakuombea, na utaishi. Lakini usipo mrudisha, ujuwe kwamba wewe pamoja na wote walio wa kwako mtakufa hakika.
8 И ујутру рано уста Авимелех, и сазва све слуге своје, и каза им све ово да чују. И уплашише се људи веома.
Abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumishi wake wote waje kwake. Akawasimulia mambo haya yote, na watu wale wakaogopa sana.
9 Тада Авимелех дозва Аврама и рече му: Шта си нам учинио? Шта ли сам ти згрешио, те навуче на ме и на царство моје толико зло? Учинио си ми шта не ваља чинити.
Kisha Abimeleki akamwita Abraham na kumwambia, “Umetufanyia jambo gani? Ni kwa jinsi gani nimekutenda dhambi kwamba umeniletea mimi na ufalme wangu dhambi hii kubwa? Umenifanyia mimi jambo ambalo halipaswi kufanywa.”
10 И још рече Авимелех Авраму: Шта ти је било, те си то учинио?
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini kilikushawishi wewe kutenda jambo hili?”
11 А Аврам одговори: Говорих: јамачно нема страха Божјег у овом месту, па ће ме убити ради жене моје.
Abraham akasema, “Ni kwasababu nilifikiri hakika hakuna hofu ya Mungu katika sehemu hii, na kwamba wataniua kwa ajili ya mke wangu.'
12 А управо и јесте ми сестра, кћи оца мог; али није кћи моје матере, па пође за ме.
Licha ya kwamba kweli ni dada yangu, binti wa baba yangu, ingawa si binti wa mama yangu; na ndiye alifanyika kuwa mke wangu.
13 А кад ме Бог изведе из дома оца мог, ја јој рекох: Учини добро, и кажи за ме где год дођемо: Брат ми је.
Wakati Mungu aliponiondoa katika nyumba ya baba yangu na kusafiri kutoka mahali kwenda mahali pengine, nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, “Ni kaka yangu.”'''
14 Тада Авимелех узе оваца и говеда и слуга и слушкиња, те даде Авраму, и врати му Сару жену његову.
Ndipo Abimeleki akatwaa kondoo, maksai, watumwa wa kiume na wa kike akampatia Abraham. Basi Abimeleki akamrudisha Sara, mke wa Abraham.
15 И рече Авимелех Авраму: Ево, земља ти је моја отворена, живи слободно где ти је воља.
Abimeleki akasema, Tazama, Nchi yangu i mbele yako. Kaa mahali utakapopendezewa.”
16 А Сари рече: Ево дао сам твом брату хиљаду сребрника; гле, он ти је очима покривало пред свима који буду с тобом; и то све да ти је за науку.
Na kwa Sara akasema, Tazama, nimempatia kaka yako vipande elfu vya fedha. Navyo ni kwa ajili ya kufunika kosa lolote dhidi yako machoni pa wote walio pamoja na wewe, na mbele ya kila mtu ambaye umemfanya kuwa na haki.”
17 И Аврам се помоли Богу, и исцели Бог Авимелеха и жену његову и слушкиње његове, те рађаху.
Kisha Abraham akaomba kwa Mungu, Na Mungu akamponya Abimeleki, mkewe, na watumwa wake wa kike kiasi kwamba wakaweza kupata watoto.
18 Јер Господ беше сасвим затворио сваку материцу у дому Авимелеховом ради Саре жене Аврамове.
Kwa kuwa Yahwe alikuwa amewafanya wanawake wote wa nyumaba ya Abimeleki kuwa tasa kabisa, kwa sababu ya Sara, mke wa Abraham.

< 1 Мојсијева 20 >