< Књига пророка Језекиља 41 >

1 После ме одведе у цркву, и измери довратнике, и беше шест лаката у ширину отуда и шест лаката у ширину одовуда, према ширини шатору.
Kisha yule mtu akanileta mahali patakatifu pa hekalu na mihimili-dhiraa sita upana pande zote.
2 А вратима ширина беше десет лаката, а стране вратима беху од пет лаката од туда и од пет лаката од овуда; по том измери јој дужину, и беше четрдесет лаката, и ширину, и беше двадесет лаката.
Upana wa maingilio ulikuwa dhiraa kumi; ukuta kila upande dhiraa tano urefu kila upande. Kisha yule mtu akapima ukubwa wa mahali patakatifu-dhiraa arobaini upana urefu na dhiraa ishirini upana.
3 Па уђе унутра и измери довратнике, и беху од два лакта; а врата беху од шест лаката, а ширина вратима седам лаката.
Kisha yule mtu akaenda hata mahali patakatifu sana na kuipima miimili ya matokeo-dhiraa mbili-kuta pande zote zilikuwa dhiraa saba upana.
4 И измери дужину онде, и беше двадесет лаката, а ширина двадесет лаката унутра у цркви; и рече ми: Ово је светиња над светињама.
Kisha akapima urefu wa vyumba-dhiraa ishirini. Upana wake-dhiraa ishirini hata mbele kwenye ukumbi wa hekalu. Kisha akanambia, “Hapa ndipo mahali patakatifu sana.”
5 И измери зид дому, и беше шест лаката, и ширина клети унаоколо у дому беше четири лакта.
Kisha yule akapima kuta za nyumba-zilikuwa dhiraa sita unene. Upana wa kila upande wa chumba kuzunguka nyumba dhiraa nne upana.
6 А клети беху по три једна над другом, и беше их тридесет, и допираху до зида који беше у дому унаоколо за клети да их држи, а не држаше их зид од дома.
Kulikuwa na pande tatu za vyumba, chumba kimoja juu ya kingine, vyumba thelathini, kulikuwa na kibao kitokezacho ukutani kuzunguka ukuta wa nyumba, kusaidia pande zote za vyumba, kwa kuwa hapakuwa na msaada uliokuwa umewekwa kwenye ukuta wa nyumba.
7 Јер се рашириваше грађевина озго унаоколо за клети које беху око дома озго свуда унаоколо, и зато грађевина беше озго шира, и најниже клети беху озго шире за средње.
Hivyo mbavu za nyumba zilipanuka na kuzunguka kwenda juu, kwa kuwa nyumba ilizunguka kwenda juu, na ngazi kuelekea juu hata sehemu ya juu, kupitia sehemu ya katikati.
8 И видех уз дом висину унаоколо; а под у клети беше с целе трске, шест лаката.
Kisha nikaona sehemu iliyoinuka kuzunguka nyumba, msingi kwa ajili ya pande za vyumba; ikapimwa fimbo nzima urefu-dhiraa sita.
9 Ширина зиду уз клети споља беше пет лаката, а беше празно место клетима која беху уз дом.
Upana wa ukuta wa vyumba vya pembeni kwa upande wa nje ulikuwa dhiraa tano. Kulikuwa na sehemu ya wazi kwa upande wa nje wa hivi vyumba katika patakatifu.
10 И међу клетима беше двадесет лаката ширине око дома.
Kwa upande mwingine wa hii sehemu ya wazi kulikuwa na vyumba vya makuhani upande wa nje; hii sehemu ilikuwa na dhiraa ishirini upana kupazunguka patakatifu.
11 А врата од клети беху к празном месту, једна према северу, а једна према југу, а ширина оном празном месту пет лаката свуда унаоколо.
Kulikuwa na milango kwenye vyumba vya pembeni kutoka sehemu ya wazi nyingine-njia ya mlango moja uliokuwa upande wa kaskazini, na mwingine upande wa kusini. Upana wa hili eneo la wazi ulikuwa na dhiraa tano kupazunguka.
12 А грађевина која беше пред одељеном страном к западу имаше седамдесет лаката у ширину, а зид те грађевине беше пет лаката широк унаоколо, и деведесет лаката дуг.
Lile jengo lililokuwa limeelekea kwenye ua upande wa magaribi dhiraa sabini upana. Ukuta wake ulipimwa dhiraa tano pande zote, na ilikuwa dhiraa tisini urefu.
13 Потом измери дом, и беше у дужину сто лаката; одељена страна и грађевина и зидови јој, све заједно у дужину сто лаката.
Kisha yule mtu akapapima patakatifu-dhiraa mia moja urefu. jengo lililokuwa limetengeka, kuta zake, na kwenye ua pia palipimwa dhiraa mia moja urefu.
14 И ширина пред домом и одељеном страном к истоку имаше сто лаката.
Upana wa mbele kwenye ua mbele ya patakatifu pia kulikuwa dhiraa mia moja.
15 И измери дужину грађевини пред одељеном страном што беше иза ње, и клети њене од туда и од овуда, и беше сто лаката; и унутрашњи дом и ходнике од трема;
Kisha yule mtu akapima urefu wa jengo karibu na patakatifu, kwa upande wake wa magharibi, na juu ya baraza pande zote-dhiraa mia moja. Mahali patakatifu na varanda,
16 Прагове и прозоре сужене, и клети унаоколо у три реда, према прагу, што беше обложено дрветом свуда унаоколо, од земље до прозора, и прозори беху обложени;
kuta za ndani na madirisha, pamoja na madirisha madogo, na baraza za pande zote kwenye pande tatu, zilikuwa zimefungwa kwa mbao.
17 До врх врата и до дома унутрашњег, и споља, и сав зид унаоколо изнутра и споља на меру.
Juu ya lango la kuingilia hata patakatifu pa ndani na kuwekwa karibu na kuta kulikuwa na pazia lililokuwa limepimwa.
18 И беху начињени херувими и палме, једна палма међу два херувима, и у сваког херувима беху два лица:
Palikuwa pamepambwa na makerubi mitende; pamoja na mitende kati ya kerubi na kerubi, na kila kerubi lilikuwa na nyuso mbili:
19 Лице човечје према палми од туда, и лице лавово према палми од овуда; тако беше начињено по свему дому унаоколо;
uso wa mtu aliyekuwa ameelekea mtende mmoja, na uso wa mwana simba ulitazama kuelekea mtende kwa upande mwingine. Vilifunikwa kuzunguka malango ya kuingia yote ya nyumba.
20 Од земље до врх врата беху херувими и палме начињене, тако и по зиду у цркви.
Kutoka chini hata juu kwenye njia ya mlango, makerubi na mtende vilifunikwa na ukuta wa nje ya nyumba.
21 У цркви довратници беху на четири угла; и светињи лице беше онако.
Mihimili ya lango la mahali patakatifu lilikuwa mraba. Umbo lao lilikuwa kama umbo la
22 Олтар беше дрвен, три лакта висок, и два лакта дуг, с угловима, и дужина и стране беху од дрвета. И рече ми: То је сто који стоји пред Господом.
kwanza madhabahu ya mbao mbele ya mahali patakatifu, ambapo kulikuwa na dhiraa tatu kwenda juu na dhiraa urefu kwa kila upande. Pembe zake mihimili, kitako, na kiunzi kilitengenezwa kwa mbao. Kisha yule mtu akanambia, “Hii ni meza ambayo itakuwa kwa ajili ya Yahwe.”
23 Двоја врата беху у цркви и светињи;
Kulikuwa na milango miwili kwa ajili ya mahali patakatifu na mahali patakatifu sana.
24 А у вратима беху два крила, која се обртаху, два крила у једних врата и два у других.
Hii milango ilikuwa na bawaba mbili kila mlango paneli, paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine.
25 И на вратима црквеним беху начињени херувими и палме, као по зидовима; и греде дрвене беху пред тремом споља.
Ilifunikwa-juu ya milango ya mahali patakatifu ambapo makerubi na mti wa mtende kama kuta ilipambwa, kulikuwa na paa ya mbao juu ya varanda kwa mbele.
26 И беху уски прозори и палме од туда и од овуда по странама трему и по клетима у дому и по гредама.
Kulikuwa na madidsha madogo miti ya mitende kwenye varanda pande zote. Hivyo vilikuwa vyumba vya pembeni ya nyumba, na pia ilizielekea dari.

< Књига пророка Језекиља 41 >