< Књига пророка Језекиља 1 >

1 Године тридесете, месеца четвртог, петог дана, кад бејах међу робљем на реци Хевару, отворише се небеса, и видех утваре Божје.
Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
2 Петог дана тог месеца, пете године од како се зароби цар Јоахин,
Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
3 Дође реч Господња Језекиљу сину Вузијевом, свештенику, у земљи халдејској на реци Хевару, и онде дође рука Господња нада њ.
Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
4 И видех, и гле, силан ветар долажаше од севера, и велик облак и огањ који се разгореваше, и око њега светлост, а исред огња као јака светлост;
Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
5 Исред њега још као четири животиње, које на очи беху налик на човека;
Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
6 И у сваке беху четири лица, и четири крила у сваке;
lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
7 И ноге им беху праве, а у стопалу беху им ноге као у телета; и севаху као углађена бронза.
Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
8 И руке им беху човечје под крилима над четири стране, и лица им и крила беху на четири стране.
Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
9 Састављена им беху крила једно с другим; и не окретаху се идући, него свака иђаше на према се.
mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
10 И лице беше у све четири лице човечје и лице лавово с десне стране, а с леве стране лице волујско и лице орлово у све четири.
Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
11 И лица им и крила беху раздељена озго; у сваке се два крила састављаху једно с другим, а два покриваху им тело.
Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
12 И свака иђаше право на према се; иђаху куда дух иђаше, и не окретаху се идући.
Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
13 И на очи беху те животиње као живо угљевље, гораху на очи као свеће; тај огањ пролажаше између животиња и светљаше се, и из огња излажаше муња.
Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
14 И животиње трчаху и враћаху се као муња.
Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
15 И кад гледах животиње, гле, точак један беше на земљи уза сваку животињу према четири лица њихова.
Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
16 Обличјем и направом беху точкови као боје хрисолитове, и сва четири беху једнака, и обличјем и направом беху као да је један точак у другом.
Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
17 Кад иђаху, иђаху сва четири сваки на своју страну, и идући не скретаху.
Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
18 И наплаци им беху високи страхота; и беху наплаци пуни очију унаоколо у сва четири.
Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
19 И кад иђаху животиње, иђаху и точкови уз њих; и кад се животиње подизаху од земље, подизаху се и точкови.
Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
20 Куда дух иђаше, онамо иђаху, и подизаху се точкови према њима, јер дух животињски беше у точковима.
Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
21 Кад оне иђаху, иђаху и они; и кад оне стајаху, стајаху и они; и кад се оне подизаху од земље, подизаху се и точкови према њима, јер дух животињски беше у точковима.
Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
22 А над главама животињама беше као небо, по виђењу као кристал, страшно, разастрто озго, над главама њиховим.
Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
23 А под тим небом беху им крила пружена, једно према другом, а два крила свакој покриваху тело.
Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
24 И чух хуку крила њихових кад иђаху као да беше хука велике воде, као глас Свемогућег и као граја у логору; и кад стајаху, спуштаху крила.
Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
25 И кад ставши спуштаху крила, чујаше се глас озго из неба, које беше над главама њиховим.
Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
26 И озго на оном небу што им беше над главама, беше као престо, по виђењу као камен сафир, и на престолу беше по обличју као човек.
Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
27 И видех као јаку светлост, и у њој унутра као огањ наоколо, од бедара горе, а од бедара доле видех као огањ и светлост око њега.
Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
28 Као дуга у облаку кад је киша, таква на очи беше светлост унаоколо. То беше виђење славе Божје на очима; и кад видех, падох на лице своје, и чух глас Некога који говораше.
Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.

< Књига пророка Језекиља 1 >