< 2 Мојсијева 36 >

1 И стаде радити Веселеило и Елијав и сви људи вешти, којима беше Господ дао мудрост и разум да умеју радити сваки посао за службу у светињи, и све што је заповедио Господ.
Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
2 И позва Мојсије Веселеила и Елијава и све људе веште, којима Господ даде мудрост у срце, које год подиже срце њихово да дођу да раде тај посао.
Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
3 И узеше од Мојсија све прилоге, које донесоше синови Израиљеви да се уради дело за службу у светињи. Али још доношаху к њему драговољне прилоге свако јутро.
Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
4 Тада дођоше сви вешти људи, који рађаху дело за светињу, сваки од свог посла, који рађаху,
Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
5 И рекоше Мојсију говорећи: Више доноси народ него што треба да се уради дело, које је Господ заповедио да се уради.
Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
6 И заповеди Мојсије да се огласи по логору говорећи: Ни човек ни жена да не доноси више прилоге за светињу. И забрани се народу да не доноси.
Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
7 Јер беше свега доста да се уради све дело, и још претецаше.
Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
8 И људи вешти између оних, који радише ово дело, начинише шатор од десет завеса од танког платна узведеног и од порфире и од скерлета и од црвца, с херувимима, вешто везеним начинише.
Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
9 У дужину беше један завес од двадесет и осам лаката а у ширину од четири лакта; сви завеси беху једне мере.
Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
10 И саставише пет завеса један с другим, и пет других завеса саставише један с другим.
Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
11 И начинише петље од порфире по крају првог завеса на оној страни где ће се саставити с другим; и тако начинише на сваком завесу по крају где ће се саставити с другим.
Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
12 Педесет петаља начинише на првом завесу, и педесет петаља начинише на крају сваког завеса где се саставља с другим; петље беху једна према другој.
Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
13 И начинише педесет златних кука, и саставише кукама завесе један с другим; тако се шатор састави.
Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
14 И начинише завесе од кострети за наслон над шатором; једанаест таквих завеса начинише.
Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
15 У дужину беше један завес од тридесет лаката а у ширину од четири лакта; једне мере беше свих једанаест завеса.
Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
16 И саставише пет завеса заједно, а других шест завеса заједно.
Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
17 И начинише педесет петаља по крају једног завеса где се саставља са другим, и педесет петаља начинише по крају другог завеса да се састави.
Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
18 И начинише педесет кука од бронзе да се састави наслон.
Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
19 И начинише покривач на наслон од кожа овнујских црвених обојених, и покривач од кожа јазавичијих озго.
Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
20 И начинише даске шатору од дрвета ситима, које ће стајати право.
Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
21 Даска беше дуга десет лаката а подруг лакта широка свака даска.
Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
22 По два чепа беху на дасци, један према другом; тако начинише на свим даскама за шатор.
Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
23 А ових дасака за шатор начинише двадесет дасака за јужну страну;
Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
24 И четрдесет стопица сребрних начинише под двадесет дасака, две стопице под једну даску за два чепа њена, а две стопице под другу даску за два чепа њена.
Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
25 Тако и на другој страни шатора, према северу, начинише двадесет дасака,
Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
26 И четрдесет стопица сребрних под њих, две стопице под једну даску а две стопице под другу даску.
na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
27 А на западној страни шатора начинише шест дасака;
Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
28 И још две даске начинише на углове шатору с обе стране;
Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
29 Оне беху састављене оздо, и беху састављене озго биочугом; тако начинише с обе стране на два угла.
Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
30 И тако беше осам дасака и шеснаест стопица њихових сребрних, по две стопице под сваку даску.
Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
31 И начинише преворнице од дрвета ситима: пет за даске на једној страни шатора,
Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
32 И пет преворница за даске на другој страни шатора, и пет преворница за даске на западној страни шатора до оба угла.
na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
33 И начинише преворницу средњу да иде преко среде дасака од једног краја до другог.
Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
34 А даске оковаше златом, и биочуге на њих начинише од злата, да у њима стоје преворнице, и оковаше златом преворнице.
Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
35 И начинише завес од порфире и од скерлета и од црвца и од танког платна узведеног, с херувимима вешто везеним начинише га.
Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
36 И начинише за њ четири ступа од дрвета ситима, и оковаше их златом, а куке на њима беху од злата, и салише им четири стопице од сребра.
Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
37 И начинише завес на врата наслону од порфире и од скерлета и од црвца и од танког платна узведеног везен,
Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
38 И пет ступова за њ с кукама њиховим, и врхове им и појасе оковаше златом, и пет стопица под њих од бронзе.
Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.

< 2 Мојсијева 36 >