< 5 Мојсијева 19 >

1 Кад Господ Бог твој потре народе којих земљу даје теби Господ Бог твој, и кад их наследиш и настаниш се по градовима њиховим и по кућама њиховим,
Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
2 Одвој три града усред земље своје коју ти даје Господ Бог твој да је наследиш,
mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
3 Начини пут, и раздели на троје крајеве земље своје коју ти да Господ Бог твој у наследство, па нека бежи онамо сваки крвник.
Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
4 А овако нека буде с крвником који утече онамо, да би остао жив: ко убије ближњег свог нехотице, не мрзевши пре на њ,
Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
5 Као кад би ко отишао с ближњим својим у шуму да сече дрва, па би замахнуо секиром у руци својој да посече дрво, а она би спала с држалице и погодила би ближњег његова тако да умре он нека утече у који од тих градова да остане жив,
kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
6 Да не би осветник потерао крвника док му је срце распаљено и да га не би стигао на далеком путу и убио га, премда није заслужио смрт, јер није пре мрзео на њ.
Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
7 Зато ти заповедам и велим: три града одвој.
Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
8 А кад рашири Господ Бог твој међе твоје као што се заклео оцима твојим, и да ти сву земљу коју је рекао дати оцима твојим,
Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
9 Ако уздржиш и уствориш све ове заповести, које ти ја данас заповедам, да љубиш Господа Бога свог и ходиш путевима Његовим свагда, онда додај још три града осим она три,
kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
10 Да се не пролива крв права у земљи твојој, коју ти Господ Бог твој даје у наследство, и да не буде на теби крв.
Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
11 Али ако ко мрзи на ближњег свог и вреба га, и скочи на њ, и удари га тако да умре, а он утече у који од тих градова,
Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
12 Онда старешине места његова нека пошаљу и узму га оданде, и предаду га у руке осветнику да се погуби.
basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
13 Нека га не жали око твоје него скини крв праву с Израиља, да би ти добро било.
Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
14 Не помичи међе ближњег свог коју поставе стари у наследству твом које добијеш у земљи коју ти Господ Бог твој даје да је наследиш.
Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
15 Нека не устаје један сведок на човека ни за како зло и ни за какав грех између свих греха који се чине, него на речима два или три сведока да остаје ствар.
Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
16 Ако би устао лажан сведок на кога да сведочи на њега да се одмеће Бога,
Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
17 Онда нека стану та два човека, који имају ту распру, пред Господа, пред свештенике и пред судије које буду у то време;
Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
18 И нека добро испитају судије, ако сведок онај буде лажан сведок и лажно сведочи на брата свог,
Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
19 Учините му онако како је он мислио учинити брату свом и извади зло из себе,
basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
20 Да се остали чувши то боје, и унапред више не чине тако зло усред тебе.
Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
21 Нека не жали око твоје: живот за живот, око за око, зуб за зуб, руку за руку, ногу за ногу.
Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

< 5 Мојсијева 19 >