< Дела апостолска 28 >

1 И кад изиђоше срећно из лађе, тада разумеше да се острво зове Мелит.
Tulipofikishwa salama, tulitambua kwamba kisiwa kinaitwa Malta.
2 А дивљаци чињаху нам не малу љубав, јер наложише огањ и примише нас све због дажда који иђаше, и због зиме.
Watu wenyeji wa pale si tu kwamba walitupa ukarimu wa kawaida, bali waliwasha moto na kutukaribisha sote, kwa sababu ya mvua na baridi iliyokuwa ikiendelea.
3 А Павле зграбивши гомилу грања наложи на огањ, и изишавши змија од врућине скочи му на руку.
Lakini Paulo alipokuwa amekusanya mzigo wa kuni na kuuweka motoni, nyoka mdogo mwenye sumu akatoka kwenye zile kuni kwa sababu ya lile joto, na akajizungusha kwenye mkono wake.
4 И кад видеше дивљаци змију где виси о руци његовој, говораху један другом: Јамачно је овај човек крвник, ког избављеног од мора суд Божји не остави да живи.
Watu wenyeji wa pale walipoona mnyama ananing'inia kutoka kwenye mkono wake, wakasemezana wao kwa wao, “Mtu huyu hakika ni muuaji ambaye ametoroka baharini, lakini haki haimuruhusu kuishi.”
5 А он отресавши змију у огањ не би му ништа зло.
Lakini yeye akamtupia huyo mnyama katika moto na hakupata madhara yoyote.
6 А они чекаху да он отече или уједанпут да падне мртав. А кад задуго чекаше, и видеше да му ништа зло не би, променише се, и говораху да је он бог.
Wao walimngojea avimbe kwa homa au aanguke ghafla na kufa. Lakini baada ya kumwangalia kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo ambalo si la kawaida kwake, walibadilisha mawazo yao na kusema alikuwa mungu.
7 А наоколо око оног места беху села поглавара од острва по имену Поплија, који нас прими и угости љубазно три дана.
Basi mahali pale karibu palikuwa na ardhi ambayo ilikuwa mali ya mkuu wa kisiwa, mtu aliyeitwa Pablio. Alitukaribisha na kutukarimu kwa siku tatu.
8 А догоди се да отац Поплијев лежаше од грознице и од срдобоље, коме ушавши Павле помоли се Богу и метну руке своје на њ и исцели га.
Ilitokea kwamba baba wa Pablio alishikwa na homa na ugonjwa wa kuhara. Na Paulo alipomwendea, aliomba, akaweka mikono juu yake, na kumponya.
9 А кад то би, долажаху и други који беху болесни на острву оном, и исцељиваху се.
Baada ya hili kutokea, watu wengine pale kisiwani waliokuwa wanaumwa pia walikwenda na waliponywa.
10 И поштоваху нас великим частима; и кад пођосмо, спремише нам што је од потребе.
Watu wakatuheshimu kwa heshima nyingi. Tulipokuwa tunajiandaa kusafiri, walitupa vile tulivyovihitaji.
11 А после три месеца одвезосмо се на лађи александријској, која је била презимила на острву, и беху на њој написани Диоскури.
Baada ya miezi mitatu, tulisafiri ndani ya meli ya Iskanda ambayo ilikuwa imepigwa baridi hapo kisiwani, ambayo viongozi wake walikuwa ndugu wawili mapacha.
12 И допловивши у Сиракузу остасмо онде три дана.
Baada ya kuwa tumetua katika mji wa Sirakusa, tulikaa pale siku tatu.
13 А оданде отпловивши дођосмо у Ригију; и после једног дана кад дуну југ, дођосмо други дан у Потиоле.
Kutokea pale tulisafiri tukafika katika mji wa Regio. Baada ya siku moja upepo wa kusini ulitokea ghafla, na baada ya siku mbili tukafika katika mji wa Putoli.
14 Онде нађемо браћу, и они нас замоле те останемо код њих седам дана; и тако пођосмо у Рим.
Huko tuliwakuta baadhi ya ndugu na tulikaribishwa kukaa nao kwa siku saba. Kwa njia hii tukaja Rumi.
15 И оданде чувши браћа за нас изиђоше нам на сусрет све до Апијева пазара и три крчме. И кад их виде Павле, даде хвалу Богу, и ослободи се.
Kutoka huko wale ndugu, baada ya kuwa wamesikia habari zetu, walikuja kutupokea huko soko la Apias na Hotel tatu. Paulo alipowaona wale ndugu alimshukuru Mungu akajitia ujasiri.
16 А кад дођосмо у Рим, капетан предаде сужње војводи. Али се Павлу допусти да живи где хоће с војником који га чуваше.
Tulipoingia Roma, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake pamoja na yule askari aliyekuwa akimlinda.
17 А после три дана Павле сазва старешине јеврејске. И кад се они скупише, говораше им: Људи браћо! Ја ништа не учиних противно народу или обичајима отачким; и Јерусалимљани предаше ме као сужња у руке Римљанима,
Basi ilikuwa baada ya siku tatu Paulo aliwaita pamoja wale wanume waliokuwa viongozi kati ya Wayahudi. Walipokuja pamoja, alisema kwao, “Ndugu, pamoja na kwamba sijafanya kosa lolote kwa watu hawa au kufanya kinyume na taratibu za mababa zetu waliotutangulia, nilitolewa kama mfungwa kutoka Yerusalemu hadi kwenye mikono ya Warumi.
18 Који извидевши за мене хтеше да ме пусте, јер се не нађе на мени ниједна смртна кривица.
Baada ya kunihoji, walitamani kuniacha huru, kwa sababu kulikuwa hakuna sababu kwangu mimi ya kustahili adhabu ya kifo.
19 Али кад Јудејци говораху насупрот, натера ме невоља да се иштем пред ћесара, не као да бих свој народ имао шта тужити.
Lakini wale Wayahudi walipoongea kinyume cha shauku yao, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisaria, japokuwa haikuwa kana kwamba naleta mashtaka juu ya taifa langu.
20 Тога ради узрока замолих вас да се видимо и да се разговоримо; јер наде ради Израиљеве окован сам у ово гвожђе.
Kwa sababu ya kukata kwangu rufaa, hivyo, niliomba kuwaona na kuongea nanyi. Ni kwa sababu ya kile ambacho Israel anaujasiri kwacho, nimefungwa na kifungo hiki.
21 А они му рекоше: Ми нити примисмо писма за те из Јудеје; нити дође ко од браће да јави или да говори шта зло за тебе.
Kisha wakamwambia, “Hatujawahi kupokea barua kutoka Yudea kukuhusu wewe, wala hakuna ndugu aliyekuja na kutoa taarifa au kusema neno lolote baya kuhusu wewe.
22 Него молимо да чујемо од тебе шта мислиш; јер нам је познато за ову јерес да јој се свуда насупрот говори.
Lakini tunataka kusikia kutoka kwako unafikiri nini kuhusu hili kundi la watu hawa, kwa sababu inajulikana kwetu kwamba linaongea kinyume kila mahali.”
23 И одредивши му дан дођоше к њему у гостионицу многи; којима казиваше сведочећи царство Божје и уверавајући их за Исуса из закона Мојсијевог и из пророка од јутра до самог мрака.
Walipokuwa wametenga siku kwa ajili yake, watu wengi zaidi walimwijia mahali alipokuwa anaishi. Alisema lile jambo kwao na kushuhudia kuhusu ufalme wa Mungu. Alijaribu kuwashawishi kuhusu Yesu, kwa namna zote mbili kutoka katika sheria za Musa na kutoka kwa manabii, kuanzia asubuhi hadi jioni.
24 И једни вероваху ономе што говораше а једни не вероваху.
Baadhi yao walishawishika kuhusu mambo yale yaliyosemwa, wakati wengine hawakuamini.
25 А будући несложни међу собом, одлажаху кад рече Павле једну реч: Добро каза Дух Свети преко пророка Исаије очевима нашим
Waliposhindwa kukubaliana wao kwa wao, waliondoka baada ya Paulo kulisema jambo hili moja, “Roho Mtakatifu alisema vyema kupitia Isaya nabii kwa baba zenu.
26 Говорећи: Иди к народу овоме и кажи: Ушима ћете чути и нећете разумети; и очима ћете гледати и нећете видети.
Alisema, 'Nenda kwa watu hawa useme, “Kwa masikio yenu mtasikia, lakini hamtaelewa; Na kwa macho yenu mtaona lakini hamtatambua.
27 Јер одрвени срце овог народа, и ушима тешко чују, и очима својим зажмурише да како не виде очима, и ушима не чују, и да се не обрате да их исцелим.
Kwa ajili ya mioyo ya watu hawa imekuwa dhaifu, masikio yao yamesikia kwa taabu, wamefumba macho yao; ili kwamba wasijekutambua kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kuelewa kwa mioyo yao, na kugeuka tena, na ningeliwaponya.”'
28 Да вам је дакле на знање да се незнабошцима посла спасење Божје, они ће и чути.
Kwa hiyo, mnapaswa kujua kwamba huu wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu wa Mataifa, na watasikiliza.” (Zingatia: Mstari huu
29 И кад он ово рече, отидоше Јевреји препирући се међу собом.
“Wakati alipokuwa amesema mambo haya, wayahudi waliondoka, wakiwa na mashindano makubwa kati yao.,” haumo kwenye nakala bora za kale).
30 А Павле остаде пуне две године о свом трошку, и дочекиваше све који му долажаху,
Paulo alikaa katika nyumba yake ya kupanga kwa miaka yote miwili, na aliwakaribisha wote waliokuja kwake.
31 Проповедајући царство Божје, и учећи о Господу нашем Исусу Христу слободно, и нико му не брањаше.
Alikuwa akihubiri ufalme wa Mungu na alikuwa akifundisha mambo juu ya Bwana Yesu Kristo kwa ujasiri wote. Hakuna aliyemzuia.

< Дела апостолска 28 >