< 2 Књига о царевима 11 >

1 А Готолија, мати Охозијина, видевши да јој погибе син уста и поби сав род царски.
Basi Athalia, mama yake na Ahazia, alipoona kwamba mtoto wake amekufa, aliinuka na kuwaua watoto wote wa kifalme.
2 Али Јосавеја, кћи цара Јорама сестра Охозијина, узе Јоаса сина Охозијиног, и украде га између синова царевих, које убијаху, и с дојкињом његовом сакри га од Готолије у ложницу, те не погибе.
Lakini Yehosheba, binti wa mfalme Yehoramu na dada wa Ahazia, akamchukua Yoashi mwana wa Ahazia, na kumficha mbali mwa miongoni mwa watoto wa mfalme waliokuwa wameuawa, wakati wote pamoja na mlezi wake; akawaweka kwenye chumba cha kulala. Wakamficha kutoka Athalia kwa hiyo hakuuawa.
3 И би сакривен с њом у дому Господњем шест година, а Готолија цароваше у земљи.
Alikuwa pamoja na Yehosheba, wamejificha kwenye nyumba ya Yahwe, kwa mda wa miaka sita, wakati Athalia alipotawala juu ya nchi.
4 А седме године посла Јодај и дозва стотинике и војводе и војнике, и уведе их к себи у дом Господњи, и ухвати веру с њима, и закле их у дому Господњем, и показа им сина царевог.
Katika mwaka wa saba, Yehoyada alituma ujumbe na kuleta maamiri jeshi mamia wa Wakari na wa walinzi, na kuwaleta kwake mwenyewe, ndani ya nyumba ya Yahwe. Akafanya agano pamoja nao, na kuwaapisha kiapo katika nyumba ya Yahwe. Kisha akawaonyesha mtoto wa mfalme.
5 И заповеди им говорећи: Ово учините: вас трећина, који долазите у суботу, нека чувају стражу у двору царском.
Akawaamuru, akisema, “Hivi ndivyo mnavyotakiwa kufanya. Theluthi yenu mtakaokuja kwenye Sabato mtakuwa mkiiangalia nyumba ya mfalme,
6 А трећина нека буде на вратима сурским, а трећина на вратима која су иза војника; и чувајте дом од силе.
na theluthi mtakuwa langoni mwa Suri, na theluthi langoni nyuma ya walinzi.”
7 А два дела вас свих који одлазе у суботу нека чувају стражу у дому Господњем око цара.
Makundi mengine mawili ambayo hayatumikii Sabato, Mtayalinda juu ya nyumba ya Yahwe kwa ajili ya mfalme.
8 И опколите цара сваки са својим оружјем у руци, и ко би навалио међу врсте нека се погуби, и будите с царем кад стане излазити и улазити.
Ni lazima mumzunguke mfalme, kila mmoja na silaha zake kwenye mkono wake. Yeyote aingiaye ndani ya safu, auwawe. Lazima mkae pamoja na mfalme kila atokapo na kila aingiapo.
9 И стотиници учинише све како заповеди Јодај свештеник; и узеше сваки своје људе који долажаху у суботу с онима који одлажаху у суботу, и дођоше к свештенику Јодају.
Hivyo mamia ya maamri jeshi wakatii kila kitu Yehoyada kuhani alichokiamuru. Kila mmoja akachukua watu wake, wale ambao walitakiwa kuja kutumika siku ya hiyo Sabato, na wale ambao wataacha kuitumika kwenye hiyo Sabato; ndipo wakaja kwa Yehoyada kuhani.
10 И свештеник даде стотиницима копља и штитове цара Давида, што беху у дому Господњем.
Kisha Yehoyada yule kuhani akawapa mikuki na ngao mamia wa maamri jeshi ambayo ilikuwa mali ya mfalme Daudi ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe.
11 И војници стадоше сваки са својим оружјем у руци од десне стране дома до леве стране дома према олтару и према дому око цара.
Basi walinzi wakasimama, kila mtu na silaha kwenye mkono wake, kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu, wakimzunguka mfalme.
12 Тада изведе сина царевог, и метну му венац на главу, и даде му сведочанство, и поставише га царем, и помазаше га, и пљескајући рукама говораху: Да живи цар!
Kisha Yehoyada akamleta nje mtoto wa mfalme Yoashi, na kumvalisha taji la kifalme, na kumpatia mikataba ya agano. Kisha wakamfanya mfalme na kummiminia mafuta. Wakapiga makofi wakisema, “Mfalme na aishi!”
13 А кад Готолија чу вику народа, који се стецаше, дође к народу у дом Господњи;
Wakati Athalia aliposikia sauti za walinzi na za watu, alikuja kwa wale watu kwenye nyumba ya Yahwe.
14 И погледа, и гле, цар стајаше код ступа по обичају, и кнезови и трубе око цара, и сав народ из земље радоваше се, и трубе трубљаху. Тада Готолија раздре хаљине своје и повика: Буна! Буна!
Akatazama, na, kisha, yule mfalme alikuwa amesimama kwenye nguzo, kama ilivyokuwa desturi, na manahodha na wapiga mabaragumu walikuwa karibu na mfalme. Watu wote wa nchi hiyo walikuwa wakifurahi na kupiga matarumbeta. Kisha Athalia akachana mavazi yake kwa hasira na kupiga kelele, “Uhaini! Uhaini!”
15 А свештеник Јодај заповеди стотиницима који беху над војском, и рече им: Изведите је из врста напоље, и ко пође за њом погубите га мачем; јер рече свештеник: Да не погине у дому Господњем.
Ndipo Yehoyada yule kuhani akawaagiza maamri jeshi wa mamia ambao waliokuwa juu ya jeshi, akisema, “Mtoeni kwenye safu.” Atakayemfuata, muueni kwa upanga.” Kwa kuwa kuhani alisema, “Msimwache auawe kwenye nyumba ya Yahwe.”
16 И начинише јој место; и кад дође на пут којим се иде у дом царски коњским вратима, онде је убише.
Hivyo wakamtwaa kadiri walivyokuwa wakiikaribia hiyo sehemu iliyokuwa na farasi wakaingia chini, na akauawa huko.
17 Тада Јодај учини завет између Господа и цара и народа да ће бити народ Господњи, такође и између цара и народа.
Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Yahwe na mfalme na watu, ambao wangekuwa watu wa Yahwe, na pia kati ya mfalme na watu.
18 Потом сав народ земаљски отиде у дом Валов, и раскопаше дом и олтар, и изломише ликове његове сасвим; а Матана свештеника Валовог убише пред олтарима. А свештеник опет уреди службу у дому Господњем.
Basi watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuingusha chini. Wakaangusha madhabahu ya Baali na sanamu zake wakazivunja vipande vipande, na kumuua Matani, mfalme wa Baali, mbele ya haya madhabahu. Kisha Yehoyada kuhani akawachagua walinzi juu ya hekalu la Yahwe.
19 И узе стотинике и војводе и војнике и сав народ земаљски, и изведоше цара из дома Господњег, и уђоше у дом царски путем на врата војничка. И седе на царски престо.
Yehoyada akawachukua maamiri jeshi wa mamia, Wakari, walinzi, na watu wote wa nchi, na kwa pamoja wakamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na wakaenda kwenye nyumba ya mfalme, wakaingia kwa njia ya lango la walinzi. Yoashi akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi cha mfalme.
20 И радоваше се сав народ земаљски, и град се умири пошто Готолију убише мачем код царског дома.
Hivyo watu wote wa nchi wakamsifu, na nchi ilikuwa kimya baada ya Athalia kuuawa kwa upanga kwenye nyumba ya mfalme.
21 Јоасу беше седам година кад се зацари.
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba tangu alipoanza kutawala.

< 2 Књига о царевима 11 >