< 2 Књига дневника 1 >

1 И Соломун син Давидов утврди се у царству свом, и Господ Бог његов беше с њим, и узвиси га веома.
Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.
2 И Соломун рече свему Израиљу, хиљадницима и стотиницима и судијама и свим кнезовима свега Израиља, главарима домова отачких,
Ndipo Solomoni akasema na Israeli wote, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, waamuzi na viongozi wote katika Israeli, pamoja na wakuu wa jamaa.
3 Те отидоше, Соломун и сав збор с њим, на висину која беше у Гаваону; јер онде беше шатор од састанка Божјег, који начини Мојсије, слуга Господњи, у пустињи.
Naye Solomoni na kusanyiko lote wakakwea mpaka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kwa kuwa huko ndiko Hema la Kukutania la Mungu lilipokuwa, ambalo Mose mtumishi wa Bwana alikuwa amelitengeneza huko jangwani.
4 А ковчег Божји беше пренео Давид из Киријат-Јарима на место које му спреми Давид; јер му разапе шатор у Јерусалиму.
Basi Daudi alikuwa amelipandisha Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu mpaka mahali alipokuwa amepatengeneza kwa ajili yake, kwa sababu alikuwa amesimamisha hema kwa ajili ya hilo Sanduku huko Yerusalemu.
5 И олтар бронзани који начини Веселеило, син Урија сина Оровог, беше онде пред шатором Господњим. И потражи Га Соломун и сав збор.
Lakini yale madhabahu ya shaba ambayo Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, alikuwa ametengeneza yalikuwa huko Gibeoni mbele ya Maskani ya Bwana Mungu, hivyo Solomoni na kusanyiko lote walimtafuta Mungu huko.
6 И принесе Соломун онде пред Господом на олтару бронзаном, који беше пред шатором од састанка, принесе на њему хиљаду жртава паљеница.
Solomoni akapanda huko yalikokuwa madhabahu ya shaba mbele za Bwana katika Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu 1,000 za sadaka za kuteketezwa juu yake.
7 Ону ноћ јави се Бог Соломуну и рече му: Ишти шта хоћеш да ти дам.
Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”
8 А Соломун рече Богу: Ти си учинио велику милост Давиду оцу мом и поставио си мене царем на његово место.
Solomoni akamjibu Mungu, “Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake.
9 Нека дакле, Господе Боже, буде тврда реч Твоја, коју си рекао Давиду оцу мом, јер си ме поставио царем над народом ког има много као праха на земљи.
Sasa, Bwana Mungu, ahadi yako kwa baba yangu Daudi na ithibitike, kwa kuwa umenifanya mimi mfalme juu ya watu ambao ni wengi kama mavumbi ya nchi.
10 Зато дај ми мудрост и знање да полазим пред народом овим и долазим, јер ко може судити народу Твом тако великом?
Nakuomba unipe mimi hekima na maarifa, ili niweze kuongoza watu hawa, kwa kuwa ni nani awezaye kutawala hawa watu wako walio wengi hivi?”
11 Тада рече Бог Соломуну: Што ти је то у срцу, а не иштеш богатство, благо ни славу, ни душе ненавидника својих, нити иштеш дуг живот, него иштеш мудрост и знање да можеш судити народу мом, над којим те поставих царем,
Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa jambo hili ndilo shauku ya moyo wako na hukuomba mali, utajiri au heshima, wala kifo kwa ajili ya adui zako, nawe kwa kuwa hukuomba maisha marefu, bali umeomba hekima na maarifa ili kuongoza watu wangu ambao nimekufanya uwe mfalme juu yao,
12 Мудрост и знање даје ти се; а даћу ти и богатства и славе, какве нису имали цареви пре тебе нити ће после тебе имати.
kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”
13 И врати се Соломун с висине која беше у Гаваону испред шатора од састанка у Јерусалим, и цароваше над Израиљем.
Ndipo Solomoni akaenda mpaka Yerusalemu kutoka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kutoka mbele ya Hema la Kukutania. Naye akatawala Israeli.
14 И накупи Соломун кола и коњаника, и имаше хиљаду и четири стотине кола и дванаест хиљада коњаника, које намести по градовима где му беху кола и код себе у Јерусалиму.
Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.
15 И учини цар те беше у Јерусалиму сребра и злата као камена, а кедрових дрва као дивљих смокава које расту по пољу, тако много.
Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.
16 И довођаху Соломуну коње из Мисира и свакојаку робу, јер трговци цареви узимаху свакојаки трг за цену.
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
17 И одлажаху, те догоњаху из Мисира кола по шест стотина сикала сребра, а коње по сто педесет; и тако сви цареви хетејски и цареви сирски преко њих добиваху.
Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha, na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

< 2 Књига дневника 1 >