< 2 Књига дневника 21 >

1 Потом почину Јосафат код отаца својих, и би погребен код отаца својих у граду Давидовом; а на његово се место зацари Јорам, син његов.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 А браћа му, синови Јосафатови, беху: Азарија и Јехило и Захарија и Азарија и Михаило и Сефатија; ти сви беху синови Јосафата цара Израиљевог.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 И отац им даде велике дарове, сребра и злата и заклада с тврдим градовима у земљи Јудиној; царство пак даде Јораму, јер беше првенац.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 А Јорам ступивши на царство оца свог и утврдивши се, поби сву браћу своју мачем и неке кнезове Израиљеве.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Имаше Јорам тридесет и две године кад се зацари, и царова осам година у Јерусалиму.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 И хођаше путем царева Израиљевих, као што чињаше дом Ахавов, јер се ожени кћерју Ахавовом; и чињаше што је зло пред Господом.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 Али Господ не хте затрти дом Давидов ради завета који учини с Давидом и што му беше рекао да ће дати видело њему и синовима његовим увек.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 За његовог времена одврже се Едом да не буде под Јудом, и поставише себи цара.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Зато отиде Јорам с војводама својим и са свим колима својим; и уста ноћу, те поби Едомце који га беху опколили, и заповеднике од кола.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 Ипак се одвргоше Едомци да не буду под Јудом до данас. У исто време одврже се Ливна да не буде под њим, јер остави Господа Бога отаца својих.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Још и висине начини по брдима Јудиним, и наведе на прељубу Јерусалимљане и преласти Јуду.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 Тада му дође књига од Илије пророка, где му говораше: Овако вели Господ Бог Давида оца твог: Што ниси ходио путевима Јосафата, оца свог и путевима Асе, цара Јудиног,
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 Него си ходио путем царева Израиљевих и навео си на прељубу Јуду и Јерусалимљане, као што је дом Ахавов навео на прељубу Израиља, и још си побио браћу своју, дом оца свог, боље од себе,
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 Ево, Господ ће ударити великим злом народ твој и синове твоје и жене твоје и све што имаш.
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 И ти ћеш боловати тешко, од болести у цревима, да ће ти црева изаћи од болести, која ће трајати две године.
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 И тако подиже Господ на Јорама дух Филистејима и Арапима који живе од Етиопљана.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 И они дошавши на земљу Јудину продреше у њу, и однесоше све благо што се нађе у дому царевом, и синове његове и жене његове, да му не оста ниједан син осим Јоахаза најмлађег сина његовог.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 И после свега тога удари га Господ болешћу у цревима, којој не беше лека.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 И дан по дан пролажаше, и кад се навршише две године, изиђоше му црева с болешћу и умре од тешких болова и народ му не пали мириса као што је чинио оцима његовим.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Имаше тридесет и две године кад поче царовати, и царова осам година у Јерусалиму, и премину да нико не зажали за њим; и погребоше га у граду Давидовом, али не у гробу царском.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< 2 Књига дневника 21 >