< Luki 24 >

1 A u prvi dan nedjeljni doðoše vrlo rano na grob, i donesoše mirise što pripraviše, i neke druge žene s njima;
Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
2 Ali naðoše kamen odvaljen od groba.
Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3 I ušavši ne naðoše tijela Gospoda Isusa.
lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
4 I kad se one èuðahu tome, gle, dva èovjeka staše pred njima u sjajnijem haljinama;
Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
5 A kad se one uplašiše i oboriše lica k zemlji, rekoše im: što tražite živoga meðu mrtvima?
Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
6 Nije ovdje; nego ustade; opomenite se kako vam kaza kad bješe još u Galileji,
Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
7 Govoreæi da sin èovjeèij treba da se preda u ruke ljudi grješnika i da se razapne i treæi dan da ustane.
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
8 I opomenuše se rijeèi njegovijeh.
Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
9 I vrativši se od groba javiše sve ovo jedanaestorici i svima ostalijem.
Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
10 A to bijaše Magdalina Marija i Jovana i Marija Jakovljeva i ostale s njima koje kazaše ovo apostolima.
Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
11 I njima se uèiniše njihove rijeèi kao laž, i ne vjerovaše im.
Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
12 A Petar ustavši otrèa ka grobu, i natkuèivši se vidje same haljine gdje leže, i otide èudeæi se u sebi šta bi.
Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
13 I gle, dvojica od njih iðahu u onaj dan u selo koje bijaše daleko od Jerusalima šeset potrkališta i zvaše se Emaus.
Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
14 A oni govorahu meðu sobom o svima ovijem dogaðajima.
Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
15 I kad se oni razgovarahu i zapitivahu jedan drugoga, i Isus približi se, i iðaše s njima.
Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
16 A oèi im se držahu da ga ne poznaše.
lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
17 A on im reèe: kakav je to razgovor koji imate meðu sobom iduæi, i što ste neveseli?
Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
18 A jedan po imenu Kleopa, odgovarajuæi reèe mu: zar si ti jedan od crkvara u Jerusalimu koji nijesi èuo šta je u njemu bilo ovijeh dana?
Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
19 I reèe im: šta? A oni mu rekoše: za Isusa Nazareæanina, koji bješe prorok, silan u djelu i u rijeèi pred Bogom i pred svijem narodom;
Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
20 Kako ga predadoše glavari sveštenièki i knezovi naši te se osudi na smrt, i razapeše ga?
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
21 A mi se nadasmo da je on onaj koji æe izbaviti Izrailja; ali svrh svega toga ovo je danas treæi dan kako to bi.
Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
22 A uplašiše nas i žene neke od našijeh koje su bile rano na grobu,
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
23 I ne našavši tijela njegova doðoše govoreæi da su im se anðeli javili koji su kazali da je on živ.
lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
24 I idoše jedni od našijeh na grob, i naðoše tako kao što i žene kazaše, ali njega ne vidješe.
Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
25 I on im reèe: o bezumni i sporoga srca za vjerovanje svega što govoriše proroci!
Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
26 Nije li to trebalo da Hristos pretrpi i da uðe u slavu svoju?
Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
27 I poèevši od Mojsija i od sviju proroka kazivaše im što je za njega u svemu pismu.
Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
28 I približiše se k selu u koje iðahu, i on èinjaše se da hoæe dalje da ide.
Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
29 I oni ga ustavljahu govoreæi: ostani s nama, jer je dan nagao, i blizu je noæ. I uðe s njima da noæi.
Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
30 I kad sjeðaše s njima za trpezom, uze hljeb i blagoslovivši prelomi ga i dade im.
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
31 Tada se njima otvoriše oèi i poznaše ga. I njega nestade.
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
32 I oni govorahu jedan drugome: ne goraše li naše srce u nama kad nam govoraše putem i kad nam kazivaše pismo?
Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
33 I ustavši onaj èas, vratiše se u Jerusalim, i naðoše u skupu jedanaestoricu i koji bijahu s njima,
Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34 Koji govorahu: zaista ustade Gospod, i javi se Simonu.
wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
35 I oni kazaše što bi na putu, i kako ga poznaše kad prelomi hljeb.
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
36 A kad oni ovo govorahu, i sam Isus stade meðu njima, i reèe im: mir vam.
Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
37 A oni se uplašiše, i poplašeni buduæi, mišljahu da vide duha.
Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
38 I reèe im: šta se plašite? I zašto takove misli ulaze u srca vaša?
Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
39 Vidite ruke moje i noge moje: ja sam glavom; opipajte me i vidite; jer duh tijela i kostiju nema kao što vidite da ja imam.
Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
40 I ovo rekavši pokaza im ruke i noge.
Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
41 A dok oni još ne vjerovahu od radosti i èuðahu se reèe im: imate li ovdje što za jelo?
Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
42 A oni mu daše komad ribe peèene, i meda u satu.
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43 I uzevši izjede pred njima.
naye akakichukua na kukila mbele yao.
44 I reèe im: ovo su rijeèi koje sam vam govorio još dok sam bio s vama, da sve treba da se svrši što je za mene napisano u zakonu Mojsijevu i u prorocima i u psalmima.
Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
45 Tada im otvori um da razumiju pismo.
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
46 I reèe im: tako je pisano, i tako je trebalo da Hristos postrada i da ustane iz mrtvijeh treæi dan;
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
47 I da se propovijeda pokajanje u ime njegovo i oproštenje grijeha po svijem narodima poèevši od Jerusalima.
Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
48 A vi ste svjedoci ovome.
Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
49 I gle, ja æu poslati obeæanje oca svojega na vas; a vi sjedite u gradu Jerusalimskome dok se ne obuèete u silu s visine.
“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
50 I izvede ih napolje do Vitanije, i podignuvši ruke svoje blagoslovi ih.
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51 I kad ih blagosiljaše, otstupi od njih, i uznošaše se na nebo.
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
52 I oni mu se pokloniše, i vratiše se u Jerusalim s velikom radošæu.
Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
53 I bijahu jednako u crkvi hvaleæi i blagosiljajuæi Boga. Amin.
Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.

< Luki 24 >