< lUkaH 20 >

1 athaikadA yIzu rmanidare susaMvAdaM pracArayan lokAnupadizati, etarhi pradhAnayAjakA adhyApakAH prAJcazca tannikaTamAgatya papracchuH
Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
2 kayAjJayA tvaM karmmANyetAni karoSi? ko vA tvAmAjJApayat? tadasmAn vada|
Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
3 sa pratyuvAca, tarhi yuSmAnapi kathAmekAM pRcchAmi tasyottaraM vadata|
Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
4 yohano majjanam Izvarasya mAnuSANAM vAjJAto jAtaM?
ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
5 tataste mitho vivicya jagaduH, yadIzvarasya vadAmastarhi taM kuto na pratyaita sa iti vakSyati|
Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
6 yadi manuSyasyeti vadAmastarhi sarvve lokA asmAn pASANai rhaniSyanti yato yohan bhaviSyadvAdIti sarvve dRDhaM jAnanti|
Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
7 ataeva te pratyUcuH kasyAjJayA jAtam iti vaktuM na zaknumaH|
Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka.
8 tadA yIzuravadat tarhi kayAjJayA karmmANyetAti karomIti ca yuSmAn na vakSyAmi|
Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
9 atha lokAnAM sAkSAt sa imAM dRSTAntakathAM vaktumArebhe, kazcid drAkSAkSetraM kRtvA tat kSetraM kRSIvalAnAM hasteSu samarpya bahukAlArthaM dUradezaM jagAma|
Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
10 atha phalakAle phalAni grahItu kRSIvalAnAM samIpe dAsaM prAhiNot kintu kRSIvalAstaM prahRtya riktahastaM visasarjuH|
Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
11 tataH sodhipatiH punaranyaM dAsaM preSayAmAsa, te tamapi prahRtya kuvyavahRtya riktahastaM visasRjuH|
Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
12 tataH sa tRtIyavAram anyaM prAhiNot te tamapi kSatAGgaM kRtvA bahi rnicikSipuH|
Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
13 tadA kSetrapati rvicArayAmAsa, mamedAnIM kiM karttavyaM? mama priye putre prahite te tamavazyaM dRSTvA samAdariSyante|
Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
14 kintu kRSIvalAstaM nirIkSya parasparaM vivicya procuH, ayamuttarAdhikArI AgacchatainaM hanmastatodhikArosmAkaM bhaviSyati|
Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
15 tataste taM kSetrAd bahi rnipAtya jaghnustasmAt sa kSetrapatistAn prati kiM kariSyati?
Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
16 sa Agatya tAn kRSIvalAn hatvA pareSAM hasteSu tatkSetraM samarpayiSyati; iti kathAM zrutvA te 'vadan etAdRzI ghaTanA na bhavatu|
Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
17 kintu yIzustAnavalokya jagAda, tarhi, sthapatayaH kariSyanti grAvANaM yantu tucchakaM| pradhAnaprastaraH koNe sa eva hi bhaviSyati| etasya zAstrIyavacanasya kiM tAtparyyaM?
Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
18 aparaM tatpASANopari yaH patiSyati sa bhaMkSyate kintu yasyopari sa pASANaH patiSyati sa tena dhUlivac cUrNIbhaviSyati|
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
19 sosmAkaM viruddhaM dRSTAntamimaM kathitavAn iti jJAtvA pradhAnayAjakA adhyApakAzca tadaiva taM dhartuM vavAJchuH kintu lokebhyo bibhyuH|
Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
20 ataeva taM prati satarkAH santaH kathaM tadvAkyadoSaM dhRtvA taM dezAdhipasya sAdhuvezadhAriNazcarAn tasya samIpe preSayAmAsuH|
Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
21 tadA te taM papracchuH, he upadezaka bhavAn yathArthaM kathayan upadizati, kamapyanapekSya satyatvenaizvaraM mArgamupadizati, vayametajjAnImaH|
Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
22 kaisararAjAya karosmAbhi rdeyo na vA?
Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23 sa teSAM vaJcanaM jJAtvAvadat kuto mAM parIkSadhve? mAM mudrAmekaM darzayata|
Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24 iha likhitA mUrtiriyaM nAma ca kasya? te'vadan kaisarasya|
“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
25 tadA sa uvAca, tarhi kaisarasya dravyaM kaisarAya datta; Izvarasya tu dravyamIzvarAya datta|
Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
26 tasmAllokAnAM sAkSAt tatkathAyAH kamapi doSaM dhartumaprApya te tasyottarAd AzcaryyaM manyamAnA mauninastasthuH|
Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
27 aparaJca zmazAnAdutthAnAnaGgIkAriNAM sidUkinAM kiyanto janA Agatya taM papracchuH,
Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
28 he upadezaka zAstre mUsA asmAn pratIti lilekha yasya bhrAtA bhAryyAyAM satyAM niHsantAno mriyate sa tajjAyAM vivahya tadvaMzam utpAdayiSyati|
wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
29 tathAca kecit sapta bhrAtara Asan teSAM jyeSTho bhrAtA vivahya nirapatyaH prANAn jahau|
Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
30 atha dvitIyastasya jAyAM vivahya nirapatyaH san mamAra| tRtIyazca tAmeva vyuvAha;
na wa pili pia.
31 itthaM sapta bhrAtarastAmeva vivahya nirapatyAH santo mamruH|
Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
32 zeSe sA strI ca mamAra|
Baadaye yule mwanamke pia akafa.
33 ataeva zmazAnAdutthAnakAle teSAM saptajanAnAM kasya sA bhAryyA bhaviSyati? yataH sA teSAM saptAnAmeva bhAryyAsIt|
Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
34 tadA yIzuH pratyuvAca, etasya jagato lokA vivahanti vAgdattAzca bhavanti (aiōn g165)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
35 kintu ye tajjagatprAptiyogyatvena gaNitAM bhaviSyanti zmazAnAccotthAsyanti te na vivahanti vAgdattAzca na bhavanti, (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
36 te puna rna mriyante kintu zmazAnAdutthApitAH santa Izvarasya santAnAH svargIyadUtAnAM sadRzAzca bhavanti|
Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
37 adhikantu mUsAH stambopAkhyAne paramezvara IbrAhIma Izvara ishAka Izvaro yAkUbazcezvara ityuktvA mRtAnAM zmazAnAd utthAnasya pramANaM lilekha|
Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
38 ataeva ya IzvaraH sa mRtAnAM prabhu rna kintu jIvatAmeva prabhuH, tannikaTe sarvve jIvantaH santi|
Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
39 iti zrutvA kiyantodhyApakA UcuH, he upadezaka bhavAn bhadraM pratyuktavAn|
Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
40 itaH paraM taM kimapi praSTaM teSAM pragalbhatA nAbhUt|
Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi.
41 pazcAt sa tAn uvAca, yaH khrISTaH sa dAyUdaH santAna etAM kathAM lokAH kathaM kathayanti?
Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42 yataH mama prabhumidaM vAkyamavadat paramezvaraH| tava zatrUnahaM yAvat pAdapIThaM karomi na| tAvat kAlaM madIye tvaM dakSapArzva upAviza|
Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
43 iti kathAM dAyUd svayaM gItagranthe'vadat|
mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
44 ataeva yadi dAyUd taM prabhuM vadati, tarhi sa kathaM tasya santAno bhavati?
Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
45 pazcAd yIzuH sarvvajanAnAM karNagocare ziSyAnuvAca,
Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
46 ye'dhyApakA dIrghaparicchadaM paridhAya bhramanti, haTTApaNayo rnamaskAre bhajanagehasya proccAsane bhojanagRhasya pradhAnasthAne ca prIyante
'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
47 vidhavAnAM sarvvasvaM grasitvA chalena dIrghakAlaM prArthayante ca teSu sAvadhAnA bhavata, teSAmugradaNDo bhaviSyati|
Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '

< lUkaH 20 >