< Luke 3 >

1 Hanchu, Teberius Caesar Rêng chang a kum sômleirangana, Pontius Pilat Judea rama governor ania, Herod Galilee rama ânlal lâiin, A nâipa Philip, Iturea le Trachonitis rama ânlal lâiin, Abilene rama Lysanias ânlal lâia han,
Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
2 Annas le Caiaphas ngei hah Ochai Inlal annia. Ma zora lâia han ramchâra Zakaria nâipasal John kôma Pathien chong a juong tunga.
na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
3 Hanchu, John'n Jordan Tuidung pang revêl ramtina a se titira, “Nin sietnangei renga insîr ungla baptisma chang roi, hanchu Pathien'n nin sietnangei nangni ngâidam a tih” tiin chong a rila.
Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
4 Dêipu Isaiah lekhabua miziek anghan: “Ramchâra mi inkhat iniek rôl han, Pumapa lampui sin ungla, a lôna rang, A lampuingei mintûn roi.
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
5 Vakuong tin minsip nîng ata, Muol, tang tin mincham nîng atih, Lampui akôi ngei mintûn nîng ata, Lampui anthir ngei minnâm nîng atih.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
6 Hanchu mitinin Pathien sanmingringna mûng an tih.”
Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
7 Hanchu, John kôm baptis chang rangin mipuingei an honga, an kôm, “Murûlngei o!” “Pathien dûk juong mintung rang renga jôk rangin tumo nangni ril?
Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
8 Nin sietnangei nin insîr tatak iti nin nunchana minlang roi, Ei richibul Abraham kêng aninga ti khâi no roi, Pathien'n hi lungngei khom hih Abraham richisuonpârngei a minchang thei.
Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
9 Thingkung tin aruzung idêna phûr rangin reipui a om chit ani zoi. Thingkung tin mara sa ânra loi nâm chu phûrpaia meia pai nîng atih,” a tia.
Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
10 Mipuingei han, “Hanchu, Imo kin tho rang ani zoi,” an tia.
Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
11 Ama'n a thuona, “Kâncholi abop a dônngeiin a dônloingei sem ungla, sâkruo a dônngeiin a dônloingei sem ngei roi” a tia.
Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Sum rusuongpungei senkhat baptisma chang rangin an honga, a kôma, “Minchupu, imo kin tho rang?” an tia.
Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
13 “Balam pêna chu rusuong no roi” a tia.
Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
14 Râlmingei khom an honga a kôm, “Keinite imo kin tho rang?” an tia. An kôma, “Tute sum rangrâtin lâk no ungla, dikloiin mi nôn no ungla, nin loa han nin mulung minchuk roi,” a tia.
Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
15 Mipuingeiin John chungroia sabeina neiin, Messiah ai ni duoi mini tiin an mindona.
Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
16 Hanchu, John'n, “Keiman chu tuiin nangni ka baptis ngâia, keima nêka roiinpui uol mi a juong ani. Keima chu a kekok sût rang luon inhoi mu-ung. Ama han Ratha Inthieng le meiin nangni baptis a tih,” a tipe ngeia.
Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 “A jâpna rang relei a chôia, jâp a ta, butak hah sapanga thun a ta, arishi kai chu mei thi ngâiloia hâl minmang a tih,” a tia.
Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
18 An om lam thûlna rang mohôknân lam tamtakin thurchi Sa a ril ngeia.
Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
19 Herod'n neinun tamtak saloi a tho pênah, a nâipa Philip lômnu Herodias lômnua a nei sikin John'n a ngoa.
Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
20 Ma nêka saloi uol thôn, Herod'n, John hah intâng ina a khum zoi.
Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
21 Hanchu mipui murdi baptisma an chang zoiin, Jisua khom baptisma a changa. Chubai a tho lâitakin, invân ân onga.
Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
22 Pharvali angin, Ratha Inthieng a chunga a juongchuma, Invân renga chong ajuon ringa, “Ka nâipasal moroitak ni ni, na chunga ku mulung arâisân ok,” a tia.
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
23 Jisua'n a sin a phuta han kum sômthum a nia. Mi mindonin chu Joseph nâipasal ania. Ama hah Heli nâipasal ania,
Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
24 Ama hah Mathat nâipasal ania, Ama hah Levi nâipasal ania, Ama hah Melchi nâipasal ania, Ama hah Janna nâipasal ania, Ama hah Joseph nâipasal ani.
mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
25 Ama hah Mattathias nâipasal ania, Ama hah Amos nâipasal ania, Ama hah Nahum nâipasal ania, Ama hah Esli nâipasal ania, Ama hah Naggai nâipasal ania,
mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
26 Ama hah Maath nâipasal ania, Ama hah Mattathias nâipasal ania, Ama hah Semein nâipasal ania, Ama hah Josech nâipasal ania, Ama hah Joda nâipasal ania,
mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
27 Ama hah Joanan nâipasal ania, Ama hah Rhesa nâipasal ania, Ama hah Zerubbabel nâipasal ania, Ama hah Shealtiel nâipasal ania, Ama hah Neri nâipasal ani.
mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28 Ama hah Melchi nâipasal ania, Ama hah Addi nâipasal ania, Ama hah Cosam nâipasal ania, Ama hah Elmadam nâipasal ania, Ama hah Er nâipasal ani.
mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29 Ama hah Joshua nâipasal ania, Ama hah Eliezer nâipasal ania, Ama hah Jorim nâipasal ania, Ama hah Matthat nâipasal ania, Ama hah Levi nâipasal ania,
mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
30 Ama hah Simeon nâipasal ania, Ama hah Judah nâipasal ania, Ama hah Joseph nâipasal ania, Ama hah Jonam nâipasal ania, Ama hah Eliakim nâipasal ani.
mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
31 Ama hah Melea nâipasal ania, Ama hah Menna nâipasal ania, Ama hah Mattatha nâipasal ania, Ama hah Nathan nâipasal ania, Ama hah David nâipasal ani.
mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32 Ama hah Jesse nâipasal ania, Ama hah Obed nâipasal ania, Ama hah Boaz nâipasal ania, Ama hah Salmon nâipasal ania, Ama hah Nahshon nâipasal ania,
mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33 Ama hah Aminadab nâipasal, Ama hah Admin nâipasal ania, Amah hah Arni nâipasal ania, Ama hah Hezron nâipasal ania, Ama hah Perez nâipasal ania, Ama hah Judah nâipasal ania,
mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
34 Ama hah Jokob nâipasal ania, Ama hah Isaac nâipasal ania, Ama hah Abraham nâipasal ania, Ama hah Terah nâipasal ania, Ama hah Nahor nâipasal ania,
mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35 Ama hah Serug nâipasal ania, Ama hah Reu nâipasal ania, Ama hah Peleg nâipasal ania, Ama hah Eber nâipasal ania, Ama hah Shelah nâipasal ania,
mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36 Ama hah Cainan nâipasal ania, Ama hah Arphaxad nâipasal ania, Ama Shem nâipasal ania, Ama hah Noah nâipasal ania, Ama hah Lamech nâipasal ania,
mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
37 Ama hah Methusela nâipasal ania, Ama hah Enoch nâipasal ania, Ama hah Jared nâipasal ania, Ama hah Mahalaleel nâipasal ania, Ama hah Kenan nâipasal ania,
mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
38 Ama hah Enosh nâipasal ania, Ama hah Seth nâipasal ania, Ama hah Adam nâipasal ania, Ama hah Pathien nâipasal ani.
mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.

< Luke 3 >