< Luke 19 >

1 Hanchu, Jisua'n Jericho lûtin apala.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Mahan sumrusuongpungei ulientak a riming Zacchaeus an ti mineipa a oma.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Jisua hah i-anga mi mini, mu rang a nuoma, ania miriem dungbong ania, mipui tamrai sikin mu thei maka.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Hanchu Jisua'n ma lampui a hongvun rang sikin, mipui moton tieng Jisua mu rangin a tâna, Theichangpui kunga a kala.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Jisua'n ha mun a hong phâka anîn chu a tanga a kôma, “Zacchaeus juong chum lai roh, avien chu ni ina kêng ku tung ngêt rang,” a tia.
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Zacchaeus hah innot takin a juong chuma, râisân takin a ina a mintung zoi.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Mipui a mu ngei nâmin an chiera, “Mi nunsie ina kêng tung rangin a se rek zoi so,” an tia.
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Hanchu, Zacchaeus ândinga, Pumapa kôma, “Rangâi roh, O Pu! Ke neinun in-ang ânriengngei pêk ka ta, hanchu tutu, lei huong ta khom inlang, abâk minlîn thuon nôk ki tih,” a tia.
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 Jisua'n a kôma, “Avien, hi ina hin sanminringna a tung zoi, hi mi khom hih Abraham richi ani sikin.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Miriem Nâipasal hih ânmangngei roka sanminring rang piela juong ani,” a tia.
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Hanchu, ha a chongril an rangâi lâiin Jerusalem anâi zoi sik le Pathien Rêngram juong inlang kelen ranga an sabei sikin chongmintêk a misîra.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Hi chong hih a rila, “Mi lien inkhatin rêng changna roi hong lâka hongkîr nôk rangin ram lâtaka a sea.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 A se rangtôn chu a suokngei sôm a koia, rângkachak sumdâr a pêk chita, ‘ko hong nôk mâka lei muphung roi’ a tia.
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Ania, a ram mingeiin an hengpaia, a nûka palâi an tîra, ‘Hi mi hih kin rêng rangin nuom makme an ti,’” a tia.
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Hanchu, rêng an minchang zoiin a hongkîr nôka, idodôr mo an lei muphung rekel rangin a suokngei hah a makunga a koitûpa.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Amotontakpu a honga, “O, Pu, mina pêk hah rângkachak sumdâr sômin ku muphung,” a tia.
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 A kôma, “No tho min sa, tîrlâm sa ni ni, neinun tômte chunga iem no om sikin, kholien sôm ngei chunga ulienin nang min chang ki tih,” a tipea.
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 A tîrlâm inikna a honga a kôma, “O Pu, inkhat mina pêk hah rângkachak sumdâr rangngan ku muphung,” a tia.
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Hanchu, ama kôma han, “Nang khom khopuilien rangnga ngei chunga ulienin om roh,” a tipea.
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Hanchu, adang a honga, “O Pu, en ta, na rângkachak sumdâr mi na pêk hah mâihûinân ku sûna ka darchien.
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 Mi inngar tak nini sikin nang ki chi ani. Na darloi khom na lâka, nu tuloi khom na ât ngâi” a tia.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 A kôma, tîrlâm saloi ni ni, no chong nanâkin theiloi nang amintum. Mi inngar tak ki nia, ka darloi khom ka lâk ngâia, ku tuloi khom ka ât ngâi ni rieta,
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 anînte, ithomo ku sum hih a pungna ina ne lei dar loi, ko hong nôka hin apung leh ka man rang kêng ani, a tia.
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Hanchu, a kôla inding ngei kôma han, “A rângkachak sumdâr lâk pe ungla, sôm adônpu pêk roi,” a tia.
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Hanchu, ama'n a kôma, “O Pu, anîn chu rângkachak sumdâr sôm a dôn mo ka ta,” an tia.
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Ama han an kôma, “Nangni ki ril, tutu a nei viet kai chu pêk mintam uol nîng a ta, a nei loi kai chu ai dôn viete khom hah lâk pe rip nîng a tih,” a tia.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 “Hi ka râlngei, an rêng ranga minuom loi kai chu hong tuong ungla ka makunga that roi a ti” a tia.
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Ma chong hah a misîr zoiin chu Jerusalem panin moton ânsa.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Bethphage le Bethany khuo kôl Olive muol a tungin chu, an motona a ruoisi inik a tîra,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 “nin motona khuoa son vase ungla, nin lûtin, tute la chuongna ngâi loi sakuording te inthung mûng nin tih, sût ungla hin hongkai roi.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Tukhomin ithomo nin sût tiin an rekelin chu, Pumapa'n a nâng ani tipe roi,” a tia.
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Hanchu, an sea Pumapa'n a ti lam ang takin an va mua,
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Sakuordingte an sûtin chu a pumangeiin, “Ithomo nin sût?” an tia.
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Hanchu an kôma, “Pumapa'n ai nâng ani,” an tia.
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Sakuording te hah Jisua kôma an kaia, a chunga an puonngei an dâpa, Jisua an min chuonga.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 A sena rang lampuia khom an puonngei an dâp tira.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Hanchu, Jerusalem tung ranga Olive muol chum rangin chu a ruoisingeiin a sininkhêl sin an mu sikin rôl inring takin Pathien an minpâka.
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 “Pumapa riminga hong rêngpa chu Pathien'n satvur rese, invâna inngêina lêngin Pathien roiinpui rese,” an tia.
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Mipui lâia Pharisee senkhatin Jisua kôma, “Minchupu, nu ruoisingei dâirek rangin ril roh,” an tia.
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Jisua'n an kôma, “Nangni ki ril, hi ngei hih an dâirekin chu, lungngei tena luo an iniek rang ani,” tiin a thuona.
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 Hanchu, an tung rangtôn chu, khopui hah a mua a châa.
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 “Ratha'nngamna chong hih avienni tena luo hin ni riet nita senla chu O! Aniatate mu thei khâi mak chea.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Zora hongtung a tih, na râlngeiin nu rukul bula pil minpôngin nang huolvêl an ta, kil tina nang khap tit an tih.
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Nu rukul sûnga ni mingei le nang minmang chit an tih, nu sûnga lung inchuon reng hôi no ni ngei; nang minring ranga Pathien juonglâi ni riet loi sikin,” a tia.
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Hanchu, Jisua'n Biekina ava lûta, neinun juorngei hah a rujûla.
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 An kôma, “Lekhabua miziekin Pathien'n, Ki in chu chubai thona in tîng an tih, a tia. Ania nangni rêkin chu inrungei khurin kêng nin sin hi,” a tipe ngeia.
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Jisua'n anîngtin Biekina a ril ngei ngâia. Ochaisingei, Balam minchupungei le mipui ruoipungeiin that rang an bôka.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Hannisenla, mipui ngeiin ningsiet taka a chongril an rangâia bâikhat luo minsam rang an nuom ngâiloi sikin, a tho rang lam man mak ngei.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< Luke 19 >