< Luka 19 >

1 Wape nahunjiye hu Yeriko ashirile pahati yakwe.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Na enya pali no mntu ityawa lyakwe Zakayo. Gosi hwabha sonjezya esonga wape takiri.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Ono ahanzaga hulore oYesu mntu yali welewele sagawezizye afwatane no winji wabhantu eshi fupi wekimo.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Watangulira sashembera winjira amwanya mwiko ilipate hurole afwanaje abhahwenze shilire idara lila.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Na oYesu ashilile esehemu ela, ehenyizye amwanya wabhora, 'Zakayo, iha nanali, afwanaje sanyono ehwanziwa alenda mnyumba yaho.'
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Wabhomba nanali, wiha wakaribizya ohu ashiye.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Hata bhantu nabhavolire bhaunire wonti, bhayanga, 'Ayinjiye akhare hwa mntu owe mbibhi.'
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Zakayo wemerela wabhora Gosi, Enya Gosi enusu eye shoma shane embapera apena nkashera efyelere omntu ahantu huhila ehuwezezya mara zinne. '
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 O Yesu wabhora sanyono owaule ufishire mnyumba omu afwanaje ono wape mwana wa Ibrahimu.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Afwanaje Mwana wa Adamu ahenzere ahwanze na hwaule shila shashitejire. '
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Nabhahovwezye ego, ahonjeye ayanje omfano afwanaje aripapepe ne Yerusalemu, bhape bhasebhere aje oumwene owa Ngolobhe ubhonesha nunari.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Basi wayanga, 'Omntu omo kabaila asafiriye abhare ensi yahutari ili ahwipere oumwene na were.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 Wabhakwizya abhantu kumi katika asontezi bhakwe awapera amafungu kumi agehela wabhabhora bhombaji ebiashara hata nehayenza.'
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Lelo abhantu abhe boma lyakwa bhavititwe bhasontezyezye oujumbe hurondore na yanje setihumwanza ono atilongozye.'
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Yabha nawawela apete oumwene wakwe wamuru bhakwizizwe bhala atumwa bhabhapiye ehela, ili amanye efaida yapete shila mntu huchuruzi wakwe.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Wenza owahwande wayanga, `Gosi, ifungu liretire efaida eye fungu kumi zaidi. '
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 Wabhora, Shinza mtumwa mwinza hwashila sholi mwaminifu hunongwa endodo obhe na mamlaka amafungu juu ya maboma kumi. '
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Wenza owabhele wayanga, 'Gosi, ifungu lyaho liretire amafungu gasanu efiada.'
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Wabhora ono wape awe owe juu eye maboma gasanu.'
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Wenza owamwabho wayanga, `Gosi eli lifungu lyaho ambalo nabheshere mbuto mreso.'
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 afwanaje namwogope afwanaje oli mntu okhome ohwefu husobheshere okhome, ohwefu hasobheshere okonga hasaga ototire.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 Wabhora ambahulonje hwiromu lyaho wotumwa wobhibhi awe wamenye aje endi mntu khome. Nehwefwe hasembeshere na ekonga husetolile.
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 Basi, eshi sohabheshere ehela yane hwa bhafumia eriba ili nehwenza enjagaje pandwemo nefaida yakwe?
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Wabhabhola bhabhemeleye papepe fyori elyo ifungu mpere ola yali namafungu kumi.'
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Bhabhora, `Gosi, anago amafungu kumi. '
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Embabhora, shila yali nahantu abhapewe lelo ola yasalinahantu bhafyolwe hata halinaho.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Antele bhala adui bhane bhadebhahwanza aje embalongozye bhareti epa mbhabhole hwitagalila lyane.”
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Nawamala ayanje ego atanguliye hwitagalila wazubha abhare hu Yerusalemu.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Yabha na paramiye pa Bethfage na Bethania, hwigamba lyalihwetwa Mizeituni, asontezyezye bhabhele katika bhala asambeleziwa,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 wayanga: `Bhalaji mpaka nshijiji shila shashili papepe omwana-dogomi apinyilwe ambaye sawayile ahwinjilwe no mntu yoyonti asele mwauli mrete epa.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Na nkashile omntu abhabhozye eshi mhumwalayanji eshi Ogosi ane shida nawo.”
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Na bhala bhasontezywe bhalile bhalolile ne nshe shabhabholele.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Nabhali bhahumwaula omwana-dogomi abhanesho bhabhabhozya mbona mhwaula edogomi?'
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Bhayanga, `Ogosi aline shida nawo. '
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Bhatwala hwa Yesu bhara amenda gabho juu ya mwana dogomi bhamwinjizya oYesu.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 Na hali abhala bhabhambshe amenda gabho mwidara.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Hata nali aparamiye ahwishe mwigamba elya Mizeituni, ikundi lyonti elyasambelezewa wakwe bhahandira ashime na husifu Ongolobhe humazu amagosi eye mambo gakwe age mahaa gabhagalolile,
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 bhayanga, 'Ndiye yasayilwe mwene yahwenza hwitawa elya Gosi! Amani amwanya na utukufu ohwo amwanya!'
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Bhamo Afarisayo bhabhahari pabongano bhabhora, Sambelezi obhakhane asambelezi wa bhaho. '
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Wagalula wayanga embabhora amwe nkabhapome kati ebhe amawe gabhohomere ohoro. '
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 Nawafiha papepe walilola iboma walilillaa,
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 wayanga, lelo ogamenye hata awe katika isiku eli gagawanziwa amani! Lelo eshi gafisilye pamaso gaho.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Afwanaje isiku zyayenza adui bhaho nabhayihuzenjela boma, lizyongole bhaihuzyongola epande zyonti.
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Bhayihugwisya pansi nabhana bhaho mhati yaho. Bhasiteshere iwe juu iwe, afwanaje sohamanyaga amajira agahwenzele hwaho'.
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Winjita mwibhanza wanda abhafumie bhala bhabhabhombaga ebiashara,
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 abhabhola, “Isimbwilwe, 'Enyumba yane ebhabhe nyumba ye mputo.' lelo amwe muyibhombile abhe ligwenya lyo bhafyola”.
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Wape wabha asambelezya shila lisiku mwibhanza. Lelo Gosi Abhakohani na simbi na agosi abhabhantu bhali bhahwanza idara elya hutezye,
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 sebhalilora elya bhombe afwanaje abhantu bhonti bhahwandamano nawo bhahutejezya.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< Luka 19 >