< Псалтирь 99 >

1 Псалом Давида. Господь царствует: да трепещут народы! Он восседает на херувимах: да трясется земля!
Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
2 Господь на Сионе велик, и высок Он над всеми народами.
Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
3 Да славят великое и страшное имя Твое: свято оно!
Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
4 И могущество царя любит суд. Ты утвердил справедливость; суд и правду Ты совершил в Иакове.
Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
5 Превозносите Господа, Бога нашего, и поклоняйтесь подножию Его: свято оно!
Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
6 Моисей и Аарон между священниками и Самуил между призывающими имя Его взывали к Господу, и Он внимал им.
Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
7 В столпе облачном говорил Он к ним; они хранили Его заповеди и устав, который Он дал им.
Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
8 Господи, Боже наш! Ты внимал им; Ты был для них Богом прощающим и наказывающим за дела их.
Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
9 Превозносите Господа, Бога нашего, и поклоняйтесь на святой горе Его, ибо свят Господь, Бог наш
Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.

< Псалтирь 99 >