< Псалтирь 81 >

1 Начальнику хора. На Гефском орудии. Псалом Асафа. Радостно пойте Богу, твердыне нашей; восклицайте Богу Иакова;
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2 возьмите псалом, дайте тимпан, сладкозвучные гусли с псалтирью;
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
3 трубите в новомесячие трубою, в определенное время, в день праздника нашего;
Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
4 ибо это закон для Израиля, устав от Бога Иаковлева.
hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
5 Он установил это во свидетельство для Иосифа, когда он вышел из земли Египетской, где услышал звуки языка, которого не знал:
Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
6 “Я снял с рамен его тяжести, и руки его освободились от корзин.
Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
7 В бедствии ты призвал Меня, и Я избавил тебя; из среды грома Я услышал тебя, при водах Меривы испытал тебя.
Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
8 Слушай, народ Мой, и Я буду свидетельствовать тебе: Израиль! о, если бы ты послушал Меня!
“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
9 Да не будет у тебя иного бога, и не поклоняйся богу чужеземному.
Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
10 Я Господь, Бог твой, изведший тебя из земли Египетской; открой уста твои, и Я наполню их”.
Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
11 Но народ Мой не слушал гласа Моего, и Израиль не покорялся Мне;
“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
12 потому Я оставил их упорству сердца их, пусть ходят по своим помыслам.
Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
13 О, если бы народ Мой слушал Меня и Израиль ходил Моими путями!
“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
14 Я скоро смирил бы врагов их и обратил бы руку Мою на притеснителей их:
ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
15 ненавидящие Господа раболепствовали бы им, а их благоденствие продолжалось бы навсегда;
Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
16 Я питал бы их туком пшеницы и насыщал бы их медом из скалы.
Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

< Псалтирь 81 >