< Псалтирь 64 >

1 Начальнику хора. Псалом Давида. Услышь, Боже, голос мой в молитве моей, сохрани жизнь мою от страха врага;
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 укрой меня от замысла коварных, от мятежа злодеев,
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 которые изострили язык свой, как меч; напрягли лук свой - язвительное слово,
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 чтобы втайне стрелять в непорочного; они внезапно стреляют в него и не боятся.
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 Они утвердились в злом намерении, совещались скрыть сеть, говорили: кто их увидит?
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 Изыскивают неправду, делают расследование за расследованием даже до внутренней жизни человека и до глубины сердца.
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 Но поразит их Бог стрелою: внезапно будут они уязвлены;
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 языком своим они поразят самих себя; все, видящие их, удалятся от них.
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 И убоятся все человеки, и возвестят дело Божие, и уразумеют, что это Его дело.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 А праведник возвеселится о Господе и будет уповать на Него; и похвалятся все правые сердцем.
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.

< Псалтирь 64 >