< Псалтирь 63 >

1 Псалом Давида, когда он был в пустыне Иудейской. Боже! Ты Бог мой, Тебя от ранней зари ищу я; Тебя жаждет душа моя, по Тебе томится плоть моя в земле пустой, иссохшей и безводной,
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 чтобы видеть силу Твою и славу Твою, как я видел Тебя во святилище:
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 ибо милость Твоя лучше, нежели жизнь. Уста мои восхвалят Тебя.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Так благословлю Тебя в жизни моей; во имя Твое вознесу руки мои.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Как туком и елеем насыщается душа моя, и радостным гласом восхваляют Тебя уста мои,
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 когда я вспоминаю о Тебе на постели моей, размышляю о Тебе в ночные стражи,
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 ибо Ты помощь моя, и в тени крыл Твоих я возрадуюсь;
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 к Тебе прилепилась душа моя; десница Твоя поддерживает меня.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 А те, которые ищут погибели душе моей, сойдут в преисподнюю земли; (questioned)
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 сразят их силою меча; достанутся они в добычу лисицам.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Царь же возвеселится о Боге, восхвален будет всякий, клянущийся Им, ибо заградятся уста говорящих неправду.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.

< Псалтирь 63 >